Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,035
- 5,895
Marekani kama taifa kubwa, wataanza lini kuwakamata mawaziri na vigogo wauza unga hapa Tanzania? Je, wako tayari kutoa donge nono kwa wananchi watakaotaja hao wauza unga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutetea Mashoga kwao ni HAKI kama vile tunavyotetea NDOA ya zaidi ya MKE MMOJA aa Baadhi ya Wanawake wetu kuvaa nguo kufunika Nywele zao...
Kuwa na mke zaidi ya mmoja si kama inatetewa, ile ni kitu kilichopo kwenye dini na ni haki ya yule anayeshiriki ila mateso ya kisaikolojia kwa mwanamke japo hawasemi. Kwa hapa Tanzania sidhani kama kuna mwanamme asiye na nyumba ndogo hiyo nabisha.
Jaribu Kufanya HIVYO USA hata kama DINI inaruhusu; Kuna DINI USA inaruhusu inaitwa MORMON ina ruhusu MULTIPLE WIVES... lakini Katiba ya USA hairuhusu most MORMON's wenye wake wengi wanajitenga ndani ya USA hawasema wana wake wangapi au wengine wanahamia MEXICO... kama MPINZANI wa URAIS wa OBAMA - Mitch Romney Baba yake Alizaliwa MEXICO sababu ya MULTI WIVES baba yake alikuwa nao;
Kwahiyo... Sheria za NCHI haziruhusu kabisa; KATIBA ni kali zaidi ya SHERIA za DINI...
Florida Kina Dada wenye HIJAB wanaambiwa wavue kupigwa picha ya Drivers License --- HIVYO NDIVYO KATIBA inavyosema....
Kwahiyo ya USHOGA--- KATIBA ya USA ndio inayosema kuwa BINADAMU wote ni SAWA na kila mmoja ana haki asinyimwe UHURU... kwahiyo hata kama DINI zinapinga NI KATIBA ndio SOLE RULER of the LAND not RELIGION...
Ukiangalia MAHAKAMA KUU (SUPRIME COURT) YA USA ina MA-JUDGE 9; 5 ni wadini haswa kwahiyo wangechagua kupinga USHOGA lakini wanapaswa kufuata KATIBA YA NCHI
Tusijidanganye hakuna MWANDISHI wetu wa HABARI yoyote MWENYE UBAVU na UPEO wa kumwuliza Rais OBAMA Swali kuhusu Sera za Nje za Marekani au Sera za Tanzania kuhusu UPINZANI NCHINI...
Matatizo ni Mengi ila Waandishi wetu ni wale wenye MRENGO wa ISSA MICHUZI ndio baba ndio baba; Hawafanyi kazi hiyo ya UANDISHI KUNUSURU na KUJENGA SECTA ya MAWASILIANO NCHINI ila Wanaitumia kama KITEGA UCHUMI CHAO kuwa MATAJIRI kwa KUSIFIA UONGOZI; KUFICHA MAKOSA ya VIONGOZI ili tu kupata VIPODOZI wakipata SAFARI ZA NJE...
*** Ukiangalia TRIP ya RAIS OBAMA atakuwa na Waandishi wa Habari SIO YEYE atakayewachagua au OFISI yake bali ni CHOMBO HURU CHA WAANDISHI wa HABARI AMBACHO kitateua waandishi watakao kuwe EMBEDED WITH Mr. PRESIDENT
Watakuwa Wapinzani wa Pande zote Central; Left; Right; Supporters wa Pande zote Central; Left; Right
Kila Mmarekani wapatao 300Million watapata habari Transparent na isiyo na uzito wa Upande Mmoja...
--- Sisi tunapewa Michuzi ndie Mpinga Picha na pia Mleta habari... tunalundikiziwa UJINGA tunazidi kubaki na UJINGA Unable to Question; Unable to differentiate....
Kwa akili yako, unataka serikali ikatae waislam wasiwe na wake zaidi ya mmoja? Kama katiba ya nchi inaona si kosa kwa muislam kuwa na mke zaidi ya mmoja wewe unaumia wapi? Nikuulize wewe, umeoa? Na kama umeoa, je hauna nyumba ndogo? Sema ukweli.
Kaka umeelewa thread lakini??? Ni hivi: Swali gani ungependa kumuliza rais Obama kuhusu sera za nje za Marekani.
Mimi namswalika hivi:
Marekani hana rafiki wa kudumu bali maslahi ya kudumu, je hali hiyo inasaidiaje kulinda na kudumisha haki na amani ya dunia??
Wana Marafiki wa KUDUMU... UINGEREZA; UFARANSA; ITALY; AUSTRALIA
Vipi rafiki yake Iraq waliyeshirikiana naye wakati wa vita ya Iran na Iraq? Yupo wapi swahiba wake Osama?
Haya turudi kwenye thread, uliza swali lako ili Salva na Premi wayakusanye pamoja then watufikishie kwa mgeni wetu atupatie majibu!