Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,258
- 5,571
Tena anasema huku anafanya kazi labda anafua nkNadhani kile wanasema umri unavyokwenda uwezo wa kupambanua nao unashuka kiko sahihi. Hawa wazee wetu mda mwingine kuepusha shari bora upotee eneo la tukio kwa muda.
Huyo anaesema huku anatembea kama pastor ni noma sana asee
ukiondoka wanapiga simu wamekumiss/ na mm pia wakati mwingine pamoja na mambo yao hayo unakuta nmekaa mahala nawakumbuka