Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Tundu Lissu aliandika jinsi Evo Morales rais wa Bolivia alivyoitoa katika mikataba mibovu nchi yake.
Alianza kuitoa Bolivia katika international conventions zinazolazimisha nchi kufanya arbitration London na vifungu kama hivyo.
Ukianzia hapo, rais kama sovereign wa nchi, anakuwa kavuka kiungi cha kuwa na kesi itakayoamuliwa London ambako tutashindwa tu.
Kisha baada ya hapo ndipo unavunja hii mikataba.
Wakipeleka kesi London baada ya sisi kujitoa kwenye conventions, Tanzania inakuwa hailazimiki kwenda kwenye hiyo kesi kwa sababu inakuwa si signatory wa international conventions zinazoitaka iende huko.
Sasa Magufuli kakurupuka.
Anavunja mikataba kabla ya kujitoa katika conventions.
Kesi itapelekwa London. Tanzania itashindwa. Tutawalipa tena kama IPTL hata kama hawachimbi madini.
Magufuli katulisha hasara mara mbili.
Mwanzo alivyokaa kimya kama waziri wa cabinet iliyopitisha hii mikataba. Yuko responsible.
Tena sasa alipovunja mikataba kiholela
Kwa mara nyingine nasema, tatizo la Magufuli ni kwamba, hata anapofanya jambo zuri, huwa analifanya vibaya.
Alianza kuitoa Bolivia katika international conventions zinazolazimisha nchi kufanya arbitration London na vifungu kama hivyo.
Ukianzia hapo, rais kama sovereign wa nchi, anakuwa kavuka kiungi cha kuwa na kesi itakayoamuliwa London ambako tutashindwa tu.
Kisha baada ya hapo ndipo unavunja hii mikataba.
Wakipeleka kesi London baada ya sisi kujitoa kwenye conventions, Tanzania inakuwa hailazimiki kwenda kwenye hiyo kesi kwa sababu inakuwa si signatory wa international conventions zinazoitaka iende huko.
Sasa Magufuli kakurupuka.
Anavunja mikataba kabla ya kujitoa katika conventions.
Kesi itapelekwa London. Tanzania itashindwa. Tutawalipa tena kama IPTL hata kama hawachimbi madini.
Magufuli katulisha hasara mara mbili.
Mwanzo alivyokaa kimya kama waziri wa cabinet iliyopitisha hii mikataba. Yuko responsible.
Tena sasa alipovunja mikataba kiholela
Kwa mara nyingine nasema, tatizo la Magufuli ni kwamba, hata anapofanya jambo zuri, huwa analifanya vibaya.