Standard Seven 2022
Member
- Jan 16, 2019
- 19
- 61
Lakini hii sio enzi ya Jiwe,. Jifunze kuishi wakati uliopo.Ingekuwa ni enzi za Jiwe, wala usingehoji bali ungejitokeza kusifu na kupongeza.
Lakini hii sio enzi ya Jiwe,. Jifunze kuishi wakati uliopo.Ingekuwa ni enzi za Jiwe, wala usingehoji bali ungejitokeza kusifu na kupongeza.
100%Kuendesha Serikali ya Kijamaa ni mzigo kwa wananchi....
Unadumbukiza bilion 32 kujenga soko k.koo utafikiri kuna huduma zimesimaa kwa kuungua soko hilo...
Serikali imekua ikijenga majengo makubwa yasiyo na tijaa...
Kodi za wananchi hazinufaishi wananchi....
Hatujawahi pata Rais mwenye dhamira ya kuondoa umasikini na kuwapa wananchi dira ya kuondokana na umasikini....
Upo sahihi soko la kariakoo lijengwe tena kubwa tu lakini pia pawe na masoko ya ku serve maeneo mengine kama Tegeta, Gongo la mboto etc.Pamoja na unafiki wako wa kutetea kila kitu hata cha kijinga kwa Magufuli na kuja kuanza kukosoa sasa ..
Naunga mkono ni wazo la kipumbavu..
Binafsi ningependa nione wanajenga masoko mengine pembeni ya mji..
Kama gongo la mboto
Mbezi mwisho
Tegeta
Mbagala n.k...
Soko la kariakoo libaki kama soko la historia...
Tupunguze watu kukusanyana mjini...
Kwangu ishu sio hela ..ishu Mpango mbovu
Resource mobilization for 2025 General Election. Pesa zitatoka hapo.Wacha tuone!
Na huyu pimbi sorry bibi anavyowaza uchaguzi lazima ndo itakuwa plan yakeResource mobilization for 2025 General Election. Pesa zitatoka hapo.
Mkiambiwa katiba mpya inahitajikika hakuna anaejali ,mnaamini kwenye mtu binafsi baadala ya kuamini kwenye taasisi.Nchi ingekuwa na muongozo wa kila raisi atafuata misingi na mipango aliyoikuta na uajibishwaji kwa kila mmoja atakae fisadi aku kufanya jambo lolote.Stand ya mabasi mbezi pamoja na fidia tumetumia bil. 50 soko la magomeni tumetumia bil.3
Kwa hizi bil 32 za mama tungejenga Kariakoo moja Dar nyingine Mbeya, Arusha, Mwanza na Ruvuma Songea.
Muda si mrefu utasikia mfereji wa milioni 700, karavati ya bil 1 na darasa la milioni 400
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Angehojije na yeye alikiwa kwenye Ukoo wa Mfalme!Ingekuwa ni enzi za Jiwe, wala usingehoji bali ungejitokeza hapa kusifu na kupongeza.
Duh! Una akili kama mchwa braza! Sema ukileta akiki zako hizi kwa wale jamaa utakuwa unaleta hujuma kali kwa matumbo yao!Nadhani badala ya serikali kutoa fedha hii moja kwa moja watumie mfumo PPP...
Mamlaka za serikali za mitaa nyingi [wilaya, miji, manispaa na majiji] zinatumia mfumo wa PPP kwa ujenzi wa masoko...
Mfano kwa Jiji la DSM, wafanyabiashara wenyewe wanaweza kujenga soko hilo na serikali kazi yake ikawa ni kuandaa designs, mobilization ya resources, kutoa ardhi na mengine ya namna hiyo...
å CHA KWANZA, kinachotakiwa kufanyika ni kupata orodha ya wafanyabiashara wote wanaotaka kuwa wapangaji kwenye jengo litakalojengwa...
å CHA PILI, waandalie mkataba wa upangaji wa aidha miaka 2, 5, au 10...
å CHA TATU, wakokotolee gharama za upangaji na kila mmoja alipe in advance na fedha hiyo itumike kwenye ujenzi soko...
Mathalani kama mkataba ni wa miaka 10, ina maana kila mfanyabiashara atalipa kodi ya miaka hiyo kulingana na thamani ya nyumba/chumba/kizimba anachotaka kuchukua. Kutakuwa na GRADE YA VYUMBA/NYUMBA/VIZIMBA kulingana na aina ya biashara ya mtu MF. banks au financial institutions, hotel, maduka nk nk...
Kwa miaka yote hiyo, yeye ndiye atakuwa mpangaji mmiliki halali wa eneo na kama ataamua kuacha biashara ama amefilisika, atatoa taarifa kwa mbia mwenzake [i.e serikali/jiji la DSM] ili aweze kumpangisha mtu mwingine hadi contract expired time yake na fedha itakuwa yake...
Baada ya mkataba kwisha, 100% serikali kupitia Jiji inakuwa mmiliki wa majengo/jengo na kila mpangaji ataanza kulipa tens kodi ya pango...
Sasa tuashumu serikali inapokea maombi ya wafanyabiashara 20,000 na kila mmoja akaweza kutoa fedha kiasi cha wastani wa TZS 50,000,000 maana yake zitapatikana jumla ya TZS 1,000,000,000,000 [TILIONI MOJA]..!!
Hii maana yake kwa fedha hii wananchi wenyewe wanaweza kujijengea soko la kisasa la aina yake duniani bila serikali kutumia hata senti moja kutoka kwenye fedha za kutoa huduma zingine kwa umma!
å MWISHO, kupitia biashara zitakazokuwa zinaendelea na kufanyika kwenye soko hili, serikali itajipatia kodi za aina mbalimbali kwa kiwango cha kutosha na kutisha sana...
Na kwa kuwa soko litakuwa la kimataifa na kila mfanyabiashara anapenda KARIAKOO, mimi nauhakika kutakuwa na msururu wa malaki ya wafanyabiashara watataka kuwa wabia wa soko hili...!!
Mawazo yangu haya kwa kukukwoti wewe..
Litakuwa na zile bidhaa zote zilizounguaSoko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...
Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?
Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...
a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Ungehoji Kwanza na ule uwanja wa ndege chato wa billion 40 una faida gani kwenu wasukumaSoko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...
Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?
Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...
a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Wajinga Sana Hawa misukule ya magufuliIngekuwa ni enzi za Jiwe, wala usingehoji bali ungejitokeza hapa kusifu na kupongeza.
Ndugu Zanzibar-ASP:Nani ame undermine Kariakoo?
Yaani wewe unaona sawa kabisa kila siku watu watoke nje ya viunga vya jiji la Dar ili kuja kuuza na kununua hapo Kariakoo?
Toka miaka ya 1970 (zaidi ya miaka 50) watu wamekuja kuuza au kununua Kariakoo (hivyo Kariakoo ni soko la kihistoria hapa Tz) lakini sio eneo la kutoshea au kulazimisha liwe pekee kufanyia biashara hapa Dar kwa sasa, jiji limekuwa na kupanuka, kwanini huduma za kijamii kama soko zisizogezwe huko huko alipo?
Una akili nyingi sanaNadhani badala ya serikali kutoa fedha hii moja kwa moja watumie mfumo PPP...
Mamlaka za serikali za mitaa nyingi [wilaya, miji, manispaa na majiji] zinatumia mfumo wa PPP kwa ujenzi wa masoko...
Mfano kwa Jiji la DSM, wafanyabiashara wenyewe wanaweza kujenga soko hilo na serikali kazi yake ikawa ni kuandaa designs, mobilization ya resources, kutoa ardhi na mengine ya namna hiyo...
å CHA KWANZA, kinachotakiwa kufanyika ni kupata orodha ya wafanyabiashara wote wanaotaka kuwa wapangaji kwenye jengo litakalojengwa...
å CHA PILI, waandalie mkataba wa upangaji wa aidha miaka 2, 5, au 10...
å CHA TATU, wakokotolee gharama za upangaji na kila mmoja alipe in advance na fedha hiyo itumike kwenye ujenzi soko...
Mathalani kama mkataba ni wa miaka 10, ina maana kila mfanyabiashara atalipa kodi ya miaka hiyo kulingana na thamani ya nyumba/chumba/kizimba anachotaka kuchukua. Kutakuwa na GRADE YA VYUMBA/NYUMBA/VIZIMBA kulingana na aina ya biashara ya mtu MF. banks au financial institutions, hotel, maduka nk nk...
Kwa miaka yote hiyo, yeye ndiye atakuwa mpangaji mmiliki halali wa eneo na kama ataamua kuacha biashara ama amefilisika, atatoa taarifa kwa mbia mwenzake [i.e serikali/jiji la DSM] ili aweze kumpangisha mtu mwingine hadi contract expired time yake na fedha itakuwa yake...
Baada ya mkataba kwisha, 100% serikali kupitia Jiji inakuwa mmiliki wa majengo/jengo na kila mpangaji ataanza kulipa tens kodi ya pango...
Sasa tuashumu serikali inapokea maombi ya wafanyabiashara 20,000 na kila mmoja akaweza kutoa fedha kiasi cha wastani wa TZS 50,000,000 maana yake zitapatikana jumla ya TZS 1,000,000,000,000 [TILIONI MOJA]..!!
Hii maana yake kwa fedha hii wananchi wenyewe wanaweza kujijengea soko la kisasa la aina yake duniani bila serikali kutumia hata senti moja kutoka kwenye fedha za kutoa huduma zingine kwa umma!
å MWISHO, kupitia biashara zitakazokuwa zinaendelea na kufanyika kwenye soko hili, serikali itajipatia kodi za aina mbalimbali kwa kiwango cha kutosha na kutisha sana...
Na kwa kuwa soko litakuwa la kimataifa na kila mfanyabiashara anapenda KARIAKOO, mimi nauhakika kutakuwa na msururu wa malaki ya wafanyabiashara watataka kuwa wabia wa soko hili...!!
Mawazo yangu haya kwa kukukwoti wewe..