Swali Fyatu la Jumamosi: Hili Soko la Bilioni 32 litakuwa na Vitu Gani Ndani?

Mi nadhani ilitakiwa kwanza design itoke na kisha mthaminishaji aseme litagharimu pesa ngapi! Sasa kutaja bei ni sawa na yule aliyeenda dukani na kusema nataka jeans ya elfu thelathini!
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Muwe mnakumbuka Dar ndio Jiji kuu la biashara tz linahitaji majengo makubwa na ya kisasa kelele ni za Nini!!
 
Back
Top Bottom