Swali fikirishi: Kwanini Watanganyika wanaumia sana Wazanzibar wanapoungana?

dega

JF-Expert Member
Dec 18, 2012
3,138
3,022
Hii Imekuwa siku zote Watanganyika walio ndani ya Zanzibar na nje hukereka sana wanapoona Wazanzibar wakiungana.

Tuliliona hilo mwaka 2000 wakati Rais wa Zanzibar A. Karume alipata upinzani mkubwa kuanzisha GNU toka kwa Watanganyika walio visiwani lakini hatimaye akaweza kuanzisha serikali hiyo, kabla kuja kuvurugwa na Jeshi la Tanganyika lililokataa kumkabidhi Rais mteule aliyeshinda uchaguzi.

Sasa hivi baada Rais wa Zanzibar kuonesha nia ya kuwaunganisha tena Wazanzibar, kimetokea zogo tena lakini si ndani ya Zanzibar bali ya wale walio Tanganyika wakipinga Umoja huu. Tatizo ni nini?

Kumbukeni Watanganyika kwamba Wazanzibar ndio tunaodhurika na kuuawa kila baada ya chaguzi na hayo mnaoyafanya ni nyinyi.

Hongera Dr. Mwinyi

Hongera Maalim

Hongera Wazanzibar

Hongera GNU

Zanzibar ya amani inawezekana

Watanganyika tuacheni tupumue
 
Usichanganye mambo asee kuna chadema na watanzania machadema yote ndio hayataki huo muungano rejea alicho kisema mgombea wao was urais ila sisi watanzania tunawatakia maisha mema kwenye SUK yenu.
 
Wanaoumia ni CDM , wao ni kama wakala wa shetani, chochote chema kwa Tz kwao sio kizuri, CDM kwa sasa ni kama wana laana, hakuna watakalofanikiwa kwa vile wanavijiba vya roho dhidi ya chochote kizuri Tz.
 
2015 kabla jecha hajafanya yake, kwa kweli Kama Shein angekuwa makamu wa tatu Zanzibar mbele ya rais Seif, hata sie watanganyika tungeufarahia muungano huo!!
 
Hii Imekuwa siku zote Watanganyika walio ndani ya Zanzibar na nje hukereka sana wanapoona Wazanzibar wakiungana.

Tuliliona hilo mwaka 2000 wakati Rais wa Zanzibar A. Karume alipata upinzani mkubwa kuanzisha GNU toka kwa Watanganyika walio visiwani lakini hatimaye akaweza kuanzisha serikali hiyo, kabla kuja kuvurugwa na Jeshi la Tanganyika lililokataa kumkabidhi Rais mteule aliyeshinda uchaguzi.

Sasa hivi baada Rais wa Zanzibar kuonesha nia ya kuwaunganisha tena Wazanzibar, kimetokea zogo tena lakini si ndani ya Zanzibar bali ya wale walio Tanganyika wakipinga Umoja huu. Tatizo ni nini?

Kumbukeni Watanganyika kwamba Wazanzibar ndio tunaodhurika na kuuawa kila baada ya chaguzi na hayo mnaoyafanya ni nyinyi.

Hongera Dr. Mwinyi

Hongera Maalim

Hongera Wazanzibar

Hongera GNU

Zanzibar ya amani inawezekana

Watanganyika tuacheni tupumue
Maneno kama Watanganyika, Wazanzibar, Wamarekani, Waingereza Wazungu, Waafrika ni miamvuli mikubwa inayoficha tofauti nyingi za watu wanaowekwa pamoja katika miamvuli hiyo.

Ukiwalundika pamoja watu chini ya miamvuli hii, bila kunyumbulisha zaidi, unaonesha ujinga wako na huwafanyii haki watu hao.

Hili mosi.

La pili.

Mtanganyika ni nani na Mzanzibari ni nani?

Abedi Amani Karume aliyezaliwa Malawi kupitia Tanganyika, na kulowea Zanzibar ni Mmalawi, Mtanganyika au Mzanzibari?

Ali Hassan Mwinyi aliyezaliwa Kisarawe ni Mzanzibari au Mtanganyika?

Wale Wanyamwezi waliolowea Zanzibar kina Omar Mapuri ni Wazanzibari au Watanganyika?

Watoto wa Wapemba waliozaliwa Dar esalaam ni Wazanzibar au Watanganyika?

Uzanzibar ni nini? Ni uraia au kabila? Kama .ni uraia unapatikanaje? Kuna pasipoti ya Zanzibar? Kuna uraia wa Zanzibar? Kuna kabila la Uzanzibari?

Utanganyika ni nini? Ni uraia? Wa nchi gani? Ni kabila? Kuna pasipoti ya Tanganyika? Kuna uraia wa Tanganyika? Kuna kabila la Tanganyika?
 
Maneno kama Watanganyika, Wazanzibar, Wamarekani, Waingereza Wazungu, Waafrika ni miamvuli mikubwa inayoficha tofauti nyingi za watu wanaowekwa pamoja katika miamvuli hiyo.

Ukiwalundika pamoja watu chini ya miamvuli hii, bila kunyumbulisha zaidi, unaonesha ujinga wako na huwafanyii haki watu hao.

Hili mosi.

La pili.

Mtanganyika ni nani na Mzanzibari ni nani?

Abedi Amani Karume aliyezaliwa Malawi kupitia Tanganyika, na kulowea Zanzibar ni Mmalawi, Mtanganyika au Mzanzibari?

Ali Hassan Mwinyi aliyezaliwa Kisarawe ni Mzanzibari au Mtanganyika?

Wale Wanyamwezi waliolowea Zanzibar kina Omar Mapuri ni Wazanzibari au Watanganyika?

Watoto wa Wapemba waliozaliwa Dar esalaam ni Wazanzibar au Watanganyika?

Uzanzibar ni nini? Ni uraia au kabila? Kamq.ninurqia unapatikanaje? Kuna pasipoti ya Zanzibar? Kuna uraia wa Zanzibar? Kuna kabila la Zanzibar?

Utanganyika ni nini? Ni uraia? Wa nchi gani? Ni kabila? Kuna pasipoti ya Tanganyika? Kuna uraia wa Tanganyika? Kuna kabila la Tanganyika?
Fact
 
Tena kama Tundu Lissu kaumia sana kwa kweli.
LISU NDIO LOSER MKUBWA KWENYE UCHAGUZI MKUU MWENZIE SEIF HUYO ANAKULA BATA NA BENZI ZA IKULU NA SALUTI KIBAO TOKA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HUKU KAZUNGUKWA NA MA BODY GUARD KIBAO

Walioumia sana serikali ya umoja wa kitaifa ni CHADEMA HASA
 
Hii Imekuwa siku zote Watanganyika walio ndani ya Zanzibar na nje hukereka sana wanapoona Wazanzibar wakiungana.

Tuliliona hilo mwaka 2000 wakati Rais wa Zanzibar A. Karume alipata upinzani mkubwa kuanzisha GNU toka kwa Watanganyika walio visiwani lakini hatimaye akaweza kuanzisha serikali hiyo, kabla kuja kuvurugwa na Jeshi la Tanganyika lililokataa kumkabidhi Rais mteule aliyeshinda uchaguzi.

Sasa hivi baada Rais wa Zanzibar kuonesha nia ya kuwaunganisha tena Wazanzibar, kimetokea zogo tena lakini si ndani ya Zanzibar bali ya wale walio Tanganyika wakipinga Umoja huu. Tatizo ni nini?

Kumbukeni Watanganyika kwamba Wazanzibar ndio tunaodhurika na kuuawa kila baada ya chaguzi na hayo mnaoyafanya ni nyinyi.

Hongera Dr. Mwinyi

Hongera Maalim

Hongera Wazanzibar

Hongera GNU

Zanzibar ya amani inawezekana

Watanganyika tuacheni tupumue
Hujui kitu tulia
 
Maneno kama Watanganyika, Wazanzibar, Wamarekani, Waingereza Wazungu, Waafrika ni miamvuli mikubwa inayoficha tofauti nyingi za watu wanaowekwa pamoja katika miamvuli hiyo.

Ukiwalundika pamoja watu chini ya miamvuli hii, bila kunyumbulisha zaidi, unaonesha ujinga wako na huwafanyii haki watu hao.

Hili mosi.

La pili.

Mtanganyika ni nani na Mzanzibari ni nani?

Abedi Amani Karume aliyezaliwa Malawi kupitia Tanganyika, na kulowea Zanzibar ni Mmalawi, Mtanganyika au Mzanzibari?

Ali Hassan Mwinyi aliyezaliwa Kisarawe ni Mzanzibari au Mtanganyika?

Wale Wanyamwezi waliolowea Zanzibar kina Omar Mapuri ni Wazanzibari au Watanganyika?

Watoto wa Wapemba waliozaliwa Dar esalaam ni Wazanzibar au Watanganyika?

Uzanzibar ni nini? Ni uraia au kabila? Kamq.ninurqia unapatikanaje? Kuna pasipoti ya Zanzibar? Kuna uraia wa Zanzibar? Kuna kabila la Zanzibar?

Utanganyika ni nini? Ni uraia? Wa nchi gani? Ni kabila? Kuna pasipoti ya Tanganyika? Kuna uraia wa Tanganyika? Kuna kabila la Tanganyika?
Akikujibu kiungwana mkuu naomba nistue
 
Wazanzibar hawawezi ungana kwa ajili ya maslahi ya wazanzibar labda kwa ajili ya kula malupulupu na ving'ora Basi.Muungano wowote wa wazanzibar wa kuleta maendeleo hauwezi kubaliwa na watanganyika kamwe
 
Ulichoandika si kweli kwani kuna Wazanzibar wengi sana ambao hawakuunga mkono maamuzi ya Shariff msaliti na wengi wamesema hivyo hadharani na wengine kufikia kuchoma moto fulana zenye picha yake. Uwe unafuatilia kwa kina kabla ya kuja kuandika UZUSHI.
Hii Imekuwa siku zote Watanganyika walio ndani ya Zanzibar na nje hukereka sana wanapoona Wazanzibar wakiungana.

Tuliliona hilo mwaka 2000 wakati Rais wa Zanzibar A. Karume alipata upinzani mkubwa kuanzisha GNU toka kwa Watanganyika walio visiwani lakini hatimaye akaweza kuanzisha serikali hiyo, kabla kuja kuvurugwa na Jeshi la Tanganyika lililokataa kumkabidhi Rais mteule aliyeshinda uchaguzi.

Sasa hivi baada Rais wa Zanzibar kuonesha nia ya kuwaunganisha tena Wazanzibar, kimetokea zogo tena lakini si ndani ya Zanzibar bali ya wale walio Tanganyika wakipinga Umoja huu. Tatizo ni nini?

Kumbukeni Watanganyika kwamba Wazanzibar ndio tunaodhurika na kuuawa kila baada ya chaguzi na hayo mnaoyafanya ni nyinyi.

Hongera Dr. Mwinyi

Hongera Maalim

Hongera Wazanzibar

Hongera GNU

Zanzibar ya amani inawezekana

Watanganyika tuacheni tupumue
 
Maneno kama Watanganyika, Wazanzibar, Wamarekani, Waingereza Wazungu, Waafrika ni miamvuli mikubwa inayoficha tofauti nyingi za watu wanaowekwa pamoja katika miamvuli hiyo.

Ukiwalundika pamoja watu chini ya miamvuli hii, bila kunyumbulisha zaidi, unaonesha ujinga wako na huwafanyii haki watu hao.

Hili mosi.

La pili.

Mtanganyika ni nani na Mzanzibari ni nani?

Abedi Amani Karume aliyezaliwa Malawi kupitia Tanganyika, na kulowea Zanzibar ni Mmalawi, Mtanganyika au Mzanzibari?

Ali Hassan Mwinyi aliyezaliwa Kisarawe ni Mzanzibari au Mtanganyika?

Wale Wanyamwezi waliolowea Zanzibar kina Omar Mapuri ni Wazanzibari au Watanganyika?

Watoto wa Wapemba waliozaliwa Dar esalaam ni Wazanzibar au Watanganyika?

Uzanzibar ni nini? Ni uraia au kabila? Kama .ni uraia unapatikanaje? Kuna pasipoti ya Zanzibar? Kuna uraia wa Zanzibar? Kuna kabila la Uzanzibari?

Utanganyika ni nini? Ni uraia? Wa nchi gani? Ni kabila? Kuna pasipoti ya Tanganyika? Kuna uraia wa Tanganyika? Kuna kabila la Tanganyika?
Elimu kubwa.
 
LISU NDIO LOSER MKUBWA KWENYE UCHAGUZI MKUU MWENZIE SEIF HUYO ANAKULA BATA NA BENZI ZA IKULU NA SALUTI KIBAO TOKA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HUKU KAZUNGUKWA NA MA BODY GUARD KIBAO

Walioumia sana serikali ya umoja wa kitaifa ni CHADEMA HASA
Kama lengo lilikuwa kula bata kwwnye mabenzi yenye bendera za kiserikali, inawezekana Lissu akawa loser.

Lakini kama lengo lilikuwa kujenga jamii ya kidemokrasia, yenye utawala bora inayojali maendeleo na haki kwa watu, Maalim kaiuza timu yake kwa bakuli la supu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom