Swali fikirishi: Kuhusu mfanyabiashara aliyeuawa Tabora

nditolo

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
3,609
4,097
Huko Tabora Kuna mfanyabiashara kauwawa Kwa kupigwa risasi Jana tarehe 16/7/2022. Leo tarehe 17/7/2022 watuhumiwa wawili wamekamatwa na upelelezi unaendelea. Na pia marehemu kazikwa.

Je! Marehemu kahojiwa lini? Ikumbukwe suala la Tundu Lissu kupigwa risasi linasubiri Tundu Lissu arudi then ahojiwe ili waanze kupeleleza.

Haya mambo yanakera sana.

Suala la katiba mpya ni muhimu kuvunja idara ya polisi na kuiunda upya Kwa Sheria mpya. Polisi iwe ni idara ya huduma kama uhamiaji na magereza.
 
Huko Tabora Kuna mfanyabiashara kauwawa Kwa kupigwa risasi Jana tarehe 16/7/2022. Leo tarehe 17/7/2022 watuhumiwa wawili wamekamatwa na upelelezi unaendelea. Na pia marehemu kazikwa.

Je! Marehemu kahojiwa lini? Ikumbukwe suala la Tundu Lissu kupigwa risasi linasubiri Tundu Lissu arudi then ahojiwe ili waanze kupeleleza.

Haya mambo yanakera sana.

Suala la katiba mpya ni muhimu kuvunja idara ya polisi na kuiunda upya Kwa Sheria mpya. Polisi iwe ni idara ya huduma kama uhamiaji na magereza.
Ya Lisu yanaeleweka, ni magufuli alimpiga risasi and for that matter serikali ilimpiga risasi na bado serikali inaendelea kumpiga risasi kama rais wa sasa analifumbia macho bila kuruhusu uchunguzi huru tangu aingie madarakani.
 
Back
Top Bottom