Swali fikirishi: Je,ni kweli ukichanganya makabila,unakuza maendeleo?

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Nimetizama Waiziraeli,Wachina, Waiceland,nk kuhusu maendeleo yao,nikagundua watu wenye asili moja wanaweza kuwa na maendeleo makubwa kwa kujitegemea wenyewe. Sijawa na uhakika kwa kuchanganya makabila tofauti kuna uwezekano maendeleo yakaongezeka zaidi katika eneo fulani kama nilivyoona katika nchi nilizozitaja.
 
Sawa kwa hiyo tunafanyaje? kwa maana nchi yetu tu wamoja ukabila ukabila unakemewa balaa
 
Sawa kwa hiyo tunafanyaje? kwa maana nchi yetu tu wamoja ukabila ukabila unakemewa balaa
Tujadili. Mfano,Wamasai walipoanza kujichanganya na wengine, baadhi wameacha uasili wa kufuga au kufuga kitamaduni. Baadae huenda wakarudi nyuma kwa kufanya kazi zisizo na tija.
 
Nimetizama Waiziraeli,Wachina, Waiceland,nk kuhusu maendeleo yao,nikagundua watu wenye asili moja wanaweza kuwa na maendeleo makubwa kwa kujitegemea wenyewe. Sijawa na uhakika kwa kuchanganya makabila tofauti kuna uwezekano maendeleo yakaongezeka zaidi katika eneo fulani kama nilivyoona katika nchi nilizozitaja.
Kabila ni nini?
 
Tujadili. Mfano,Wamasai walipoanza kujichanganya na wengine, baadhi wameacha uasili wa kufuga au kufuga kitamaduni. Baadae huenda wakarudi nyuma kwa kufanya kazi zisizo na tija.
Mmmh binafsi siamini katika ukabila ukabila mkuu
 
Back
Top Bottom