Kama nakuelewa Hivi......Hakuna kitu kinaitwa Corona dunia nzima. Just propaganda tu
Hata bbc hawaongei tena kuhusu tanzania na corona...Toka Magufuli afariki, wapinzani nao wamenyamaza kupiga kelele za uwepo wa corona - Tanzania.
Najiuliza je Magufuli ameondoka na corona yake?
Ipo ..Hakuna kitu kinaitwa Corona dunia nzima. Just propaganda tu
Yona Wa bible ?Yona alipotoswa majini Bahari ikatulia
Naona hata vifo vya viongozi na raia pia kama vimekoma hivi
Ipo ..
Walisema kama wewe...leo wapo kwa aliyewaumba..CORONA ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine uliozoeleka