ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,987
- 49,651
Habari wadau
Ukiangalia kwa makini kiwango cha maovu na vitendo vya uvunjifu wa maadili vinazidi kuongezeka licha ya uwepo wa dini na madhehebu kila kona.
Ushoga, kusagana, sijui biriani, wanaume kama mabinti na ubinafsi ni baadhi tu huku dini nazo zikichanja mbuga majengo makubwa ya makanisa na misikiti inapamba miji, manabii, wasoma dua na kisomo n.k. wametapakaa kila kona lakini hatuoni impacts yao kupunguza uovu nchini. Je, watu wa dini wabadili mbinu za medani ili kukabiliana na utandawazi wenye nguvu ya teknolojia?
Karibu kwa maoni ya nini kifanyike ili kujenga jamii bora yenye hofu ya Mungu
Ukiangalia kwa makini kiwango cha maovu na vitendo vya uvunjifu wa maadili vinazidi kuongezeka licha ya uwepo wa dini na madhehebu kila kona.
Ushoga, kusagana, sijui biriani, wanaume kama mabinti na ubinafsi ni baadhi tu huku dini nazo zikichanja mbuga majengo makubwa ya makanisa na misikiti inapamba miji, manabii, wasoma dua na kisomo n.k. wametapakaa kila kona lakini hatuoni impacts yao kupunguza uovu nchini. Je, watu wa dini wabadili mbinu za medani ili kukabiliana na utandawazi wenye nguvu ya teknolojia?
Karibu kwa maoni ya nini kifanyike ili kujenga jamii bora yenye hofu ya Mungu