Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba tufikiri kwa kina, je ziwa ni chanzo cha maji au hifadhi ya maji?
Ziwa Victoria
Ziwa Nyasa(Malawi)
Ziwa Tanganyika.
Nia na madhumuni ni kujua je," ile sheria ya mita 60 na vyanzo vya maji inahusu hata Maziwa?"
Ziwa Victoria
Ziwa Tanganyika.
Nia na madhumuni ni kujua je," ile sheria ya mita 60 na vyanzo vya maji inahusu hata Maziwa?"