Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,689
- 14,596
Kuna dogo leo kaniuliza tukiwa pale Mlimani City ananiulizia Eti wanawake (wadada) wanakuwaga na bikra Ngapi kabla hawajagegedwa?
Nikamwambia ngoja niwaulize vijana wangu jamii forum wakijibu nitakupa link ukasome maana muda huo sikuwa na jibu.
Embu nisaidieni watu wote, na wale mliokubuhu kwenye mapenzi kwani akina dada wanakuwa na bikra Ngapi?
Me najua zipo 6 SA sijui kama zilishaongezekaga! 😂😂😂😂😂
Nikamwambia ngoja niwaulize vijana wangu jamii forum wakijibu nitakupa link ukasome maana muda huo sikuwa na jibu.
Embu nisaidieni watu wote, na wale mliokubuhu kwenye mapenzi kwani akina dada wanakuwa na bikra Ngapi?
Me najua zipo 6 SA sijui kama zilishaongezekaga! 😂😂😂😂😂