johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Iwe ni sherehe za Uhuru, Muungano na hata Mei mosi ni aghalabu kumuona KUB na Mwenyekiti wa Chadema amehudhuria.
Mwenyekiti wa Cuf Prof Lipumba ni muhudhuriaji mzuri wa maadhimisho ya kitaifa nitumie nafasi hii kumpongeza.
Maendeleo hayana vyama!
Mwenyekiti wa Cuf Prof Lipumba ni muhudhuriaji mzuri wa maadhimisho ya kitaifa nitumie nafasi hii kumpongeza.
Maendeleo hayana vyama!