Swali chonganishi: Kwanini Serikali na mawakala wake wanatafuta sifa kwa CHADEMA?

Lusungo

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
27,109
39,285
Wakuu salaam,

Nimeona nawaletee swali chonganishi kwanini pamoja na utitiri wa sifa toka kwa CCM na mawakala wao bado Serikali ikiongozwa na Magufuli wanatamani sana sifa toka CHADEMA?

Hotuba za wakubwa wengi huonesha kilio na uchungu wa wazi wazi juu ya ukosoaji wanaoupata toka kwa CHADEMA

Nimejiuliza sana japo MAGUFULI anapata compliments za kutosha toka vyama Vingi pinzani why anawatamani CHADEMA?

Waliwatukana sana CHADEMA kuwa wamechukua mafisadi na kuwa chama kimekufa sasa kwanini bado chama hiki hakiwatoki midomoni mwao?

Nauliza tena Magufuli na mawakala wake mnatafuta sifa za nini toka kwa mafisadi CHADEMA?
 
Chadema hatuna hoja za maana tunapokosoa. Tumejaa tuchi, uchonganishi na majungu. Tuna safsri ndefu kjelekea 2020
 
Chadema hatuna hoja za maana tunapokosoa. Tumejaa tuchi, uchonganishi na majungu. Tuna safsri ndefu kjelekea 2020
Kama hawana hoja sasa CCM mnahangaika nao wa nini? Kwanini msiwafate akina Lipumba wenye hoja?

Kwanini hamtosheki na hoja nzuri za kina Lyatonga Mrema na Dovutwa?
 
Chadema hatuna hoja za maana tunapokosoa. Tumejaa tuchi, uchonganishi na majungu. Tuna safsri ndefu kjelekea 2020
Wazalendo woote.na wanachadema wa kipindi cha kuanzia.2005 mpka 2014 wanaiona kasoro ya chadema.tunejaa unafki na upopo wa ajabu.hebu msikilize tundu lissu wa 2010 na wa leo mbingu na ardhi.TUMEJAA UNAFIKI WA AJABU.
 
Wazalendo woote.na wanachadema wa kipindi cha kuanzia.2005 mpka 2014 wanaiona kasoro ya chadema.tunejaa unafki na upopo wa ajabu.hebu msikilize tundu lissu wa 2010 na wa leo mbingu na ardhi.TUMEJAA UNAFIKI WA AJABU.
Mkuu Pamoja na hayo yote kwanini kila kiongozi na wakala wa CCM hawaishi kuwafatilia?
 
Chadema hatuna hoja za maana tunapokosoa. Tumejaa tuchi, uchonganishi na majungu. Tuna safsri ndefu kjelekea 2020

Hiyo nguvu ya uchonganishi kwa hoja zisizo za maana inatoka wapi kiasi cha serikali na CCM kuwapa CHADEMA kick ya kubwa kiasi hicho? Sisi Watanzania sio wajinga kushabikia upuuzi. Ndio maana tunabaki kushangaa kwa nini hasa serikali inapelekeshwa sana na kauli za hawa jamaa.

Si hoja kwa CCM kuwafuatilia (wanajuana) lakini serikali? No. Utadhani kama vile kuna kitengo maalum chenye kazi ya ku-monitor hata mawazo tu ya makamanda! Huku majanga kama Kibiti yakibakia fumbo.
 
SIJUI NII SWAUMU KALI AU NINI???MAANA NIMESOMA HII POST SIJAELEWA KABISA YAANI.
 
Wao wanapenda wasifiwe kwa jambo lolote wafanyalo hata kma ni ujinga,kuna issue za mikataba ya madini,gas,mafuta ,ununuzi wa mv bagamoyo wao wanataka wasifiwe tu kwavile malaika wao ndio kafanya..kuna wizara haijawahi kupata ripoti safi hata cku moja toka kwa CAG ambayo malaika kaitawala miaka 10 na ndio inaongoza kwa ufisadi wa kodi zetu ila ukisema ukweli wananuna wanataka tusifie tu.....shida ya chama chakavu ni tabia za kikekike yani kupenda kusifiwa tu
 
Mpinzani mkubwa wa cdm ni ccm na mpinzani mkubwa wa ccm ni cdm. Kwahiyo ccm ikikaa vibaya hawawezi kujikosoa wenyewe badala yake itawalazimu kuangalia mdomo wa cdm wanasema nini ili wajiweke sawa. Mwisho cdm inaweza ikajikuta kazi yake ni kuisahihisha ccm.
 
Mpinzani mkubwa wa cdm ni ccm na mpinzani mkubwa wa ccm ni cdm. Kwahiyo ccm ikikaa vibaya hawawezi kujikosoa wenyewe badala yake itawalazimu kuangalia mdomo wa cdm wanasema nini ili wajiweke sawa. Mwisho cdm inaweza ikajikuta kazi yake ni kuisahihisha ccm.
Mkuu si wanasema CDM imekufa?
 
Presha zinawapanda na kushuka.,nchi ina maji ya kutosha,madini aina tofauti sijui tomarine,tanzanite,dhahabu nk,gas,mafuta nk na utulivu juu lakini bado wanakuja na kodi za sigara na pombe na wanajivuna kushangiliwa na sote tushangilie!!!~~~'pure thithiem'.
 
Back
Top Bottom