Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,344
- 6,403
Tena sio kukusanya, bali ni KUPORA fedha za Watanzania Masikini!
Tena sio kukusanya, bali ni KUPORA fedha za Watanzania Masikini!
Wewe nawe, hesabu zimekupita kushoto. Ebu rudia tena.Kweli shilingi elfu 20 hizi utakusanya kiasi gani; isipokuwa kama unawalipisha watu kila mwezi au kila wiki... wakinunua wajasirimali 5,000,000 utakachopata ni milioni 100 tu! Utafanya nazo nini na hizi ni kwa nchi nzima? Kama chanzo cha mapato sidhani kama ni lengo sahihi... labda itabidi nirejee ile hotuba ya rais alipotangaza hili na kugawa pale Ikulu; labda kuna kitu nimemiss.
Uko serious?Sion kama Machinga ananyonywa kwenye issue hii..! Hapa Lengo la Serikali ni kuhakikisha kila mfanybiashara anatambulika hiki kinacho endelea ni kuwaingiza kwenye system na naamini kuanzia mwaka wa fedha ujao kuna utaratibu rasmi utakuja chini ya sheria..!
unazungumzia unyonyaji ambao 20,000/= per year sawa na Tsh ngapi kwa siku? yani kama inakushinda kupata 20,000 kwa mwaka mzima hiyo ni biashara ama kitu gani?
Unajua kodi inakusanywa na nani?Sion kama Machinga ananyonywa kwenye issue hii..! Hapa Lengo la Serikali ni kuhakikisha kila mfanybiashara anatambulika hiki kinacho endelea ni kuwaingiza kwenye system na naamini kuanzia mwaka wa fedha ujao kuna utaratibu rasmi utakuja chini ya sheria..!
unazungumzia unyonyaji ambao 20,000/= per year sawa na Tsh ngapi kwa siku? yani kama inakushinda kupata 20,000 kwa mwaka mzima hiyo ni biashara ama kitu gani?
Mambo ya Dr.Kivuruge bana dahhh, sijui akili gani hiyo -Vitambulisho havina;
Jina
Jinsia
Tarehe ya kuzaliwa
Anuani ya mkazi
Picha
Kikipotea imekula kwako.
Mzee wangu hapo jibu ni Bilioni 100.Kweli shilingi elfu 20 hizi utakusanya kiasi gani; isipokuwa kama unawalipisha watu kila mwezi au kila wiki... wakinunua wajasirimali 5,000,000 utakachopata ni milioni 100 tu! Utafanya nazo nini na hizi ni kwa nchi nzima? Kama chanzo cha mapato sidhani kama ni lengo sahihi... labda itabidi nirejee ile hotuba ya rais alipotangaza hili na kugawa pale Ikulu; labda kuna kitu nimemiss.
View attachment 1029451
(Picha kutoka Ahmad Michuzi)
Sijafuatilia sana suala hili la vitambulisho na sijapata nafasi ya kusoma uchambuzi yakinifu ya kwanini linafanyika sasa na jinsi linavyofanyika. Kwa kufuatilia tu habari kama wengine ningependa kujua zaidi ili kuweza kutoa mchango wa mawazo ipasavyo. Inawezekana kabisa kuwa hili ni wazo zuri sana (brilliant idea) lakini uzuri wake unahitaji kuangaliwa kwa macho ya darubini kuona uwezekano wa matatizo na hata matumizi mabaya ya mpango wenyewe.
1. Lengo la kuwa na hivi vitambulisho ni nini hasa? Ni kutaka kujua nani anafanya biashara, wapi, na gani? au ni kwa ajili ya kuona ni wapi serikali inaweza kupata mapato zaidi?
2. Kwanini vitambulisho hivi vimeanzia Ikulu badala ya wizara fulani kwa mfano TAMISEMI? (naelewa TAMISEMI iko chini ya Ikulu). Kwa maana ya kwamba, Ikulu inataka kutatua tatizo gani hasa?
3. Imeonekana kuna ulazima kuwa wafanyabiashara hawa wadogo wadogo - hadi wabangua kokoto - watatakiwa kuwa na vitambulisho hivi. Ulazima huu ni kwa ajili gani hasa? Wao watapata faida gani ya kuwa na vitambulisho hivi? Je, mtu asiponunua vitambulisho hivi atapata adhabu gani na kwa kosa la kuvunja sheria gani?
4. Je, vitambulisho hivi vinaingizwa kwenye database gani ambayo inakusanya na kuchanganua taarifa za wafanyabiashara hawa? Au watu wananunua vitambulisho na kusema wanavyo?
5. Je, ni kwanini viuzwe au kutolewa kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa/Wilaya badala ya Halmashauri ambapo watu wanafanya shughuli zao? Mapato haya ya vitambulisho - sijui vinauzwaje yanaenda wapi? Mkoani, Halmashauri au Hazina Kuu?
6. Ni kwa vili itakuwa vigumu watu ku counterfeit vitambulisho hivi? Yaani, kuna teknolojia gani iko (embedded) kwenye hivi vitambulisho kuzuia kuigwa?
7. Kuna ulazima kweli wa kuwa na vitambulisho hivi? Watu wana leseni za biashara, wana vitambulisho mbalimbali kwanini ulazima wa kuwa na hivi; hivi vinamuongezea mtu kitu gani ambacho angeshindwa kukipata au kuvifanya kwa kutumia vitambulisho alivyo navyo tayari?
Naomba kusaidiwa kwa taarifa sahihi (facts) kuliko kukisia au kunuia. Kama mwenzangu na wewe uko kama mimi basi tuendelee kuuliza maswali; wenye majibu watatusaidia kujibu.
Rudia hesabu zako MkuuKweli shilingi elfu 20 hizi utakusanya kiasi gani; isipokuwa kama unawalipisha watu kila mwezi au kila wiki... wakinunua wajasirimali 5,000,000 utakachopata ni milioni 100 tu! Utafanya nazo nini na hizi ni kwa nchi nzima? Kama chanzo cha mapato sidhani kama ni lengo sahihi... labda itabidi nirejee ile hotuba ya rais alipotangaza hili na kugawa pale Ikulu; labda kuna kitu nimemiss.
Tatizo ni kwamba siyo wazo shirikishi kuna kitu kinaitwa mjasiliamali na mabo yanayo mzunguka '' An Entrepreneur and his Environments '' kuna mambo mengi yanayo mzunguka mfanya biashara huanzia nyumbani hadi kimataifa Majukumu ya Serikali 3View attachment 1029451
(Picha kutoka Ahmad Michuzi)
Sijafuatilia sana suala hili la vitambulisho na sijapata nafasi ya kusoma uchambuzi yakinifu ya kwanini linafanyika sasa na jinsi linavyofanyika. Kwa kufuatilia tu habari kama wengine ningependa kujua zaidi ili kuweza kutoa mchango wa mawazo ipasavyo. Inawezekana kabisa kuwa hili ni wazo zuri sana (brilliant idea) lakini uzuri wake unahitaji kuangaliwa kwa macho ya darubini kuona uwezekano wa matatizo na hata matumizi mabaya ya mpango wenyewe.
1. Lengo la kuwa na hivi vitambulisho ni nini hasa? Ni kutaka kujua nani anafanya biashara, wapi, na gani? au ni kwa ajili ya kuona ni wapi serikali inaweza kupata mapato zaidi?
2. Kwanini vitambulisho hivi vimeanzia Ikulu badala ya wizara fulani kwa mfano TAMISEMI? (naelewa TAMISEMI iko chini ya Ikulu). Kwa maana ya kwamba, Ikulu inataka kutatua tatizo gani hasa?
3. Imeonekana kuna ulazima kuwa wafanyabiashara hawa wadogo wadogo - hadi wabangua kokoto - watatakiwa kuwa na vitambulisho hivi. Ulazima huu ni kwa ajili gani hasa? Wao watapata faida gani ya kuwa na vitambulisho hivi? Je, mtu asiponunua vitambulisho hivi atapata adhabu gani na kwa kosa la kuvunja sheria gani?
4. Je, vitambulisho hivi vinaingizwa kwenye database gani ambayo inakusanya na kuchanganua taarifa za wafanyabiashara hawa? Au watu wananunua vitambulisho na kusema wanavyo?
5. Je, ni kwanini viuzwe au kutolewa kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa/Wilaya badala ya Halmashauri ambapo watu wanafanya shughuli zao? Mapato haya ya vitambulisho - sijui vinauzwaje yanaenda wapi? Mkoani, Halmashauri au Hazina Kuu?
6. Ni kwa vili itakuwa vigumu watu ku counterfeit vitambulisho hivi? Yaani, kuna teknolojia gani iko (embedded) kwenye hivi vitambulisho kuzuia kuigwa?
7. Kuna ulazima kweli wa kuwa na vitambulisho hivi? Watu wana leseni za biashara, wana vitambulisho mbalimbali kwanini ulazima wa kuwa na hivi; hivi vinamuongezea mtu kitu gani ambacho angeshindwa kukipata au kuvifanya kwa kutumia vitambulisho alivyo navyo tayari?
Naomba kusaidiwa kwa taarifa sahihi (facts) kuliko kukisia au kunuia. Kama mwenzangu na wewe uko kama mimi basi tuendelee kuuliza maswali; wenye majibu watatusaidia kujibu.