MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Huwa muda mwingine nikiwasikiliza wafuasi wa Chadema namna wanavyoponda kwamba wabunge wa CCM wana kiwango cha chini cha elimu na kuwa sifa ya kujua kusoma na kuandika haitoshi kumfanya mtu kuwa kiongozi wa umma! Najiuliza vipi kama leo katiba ikitamka kwamba mbunge sharti awe na degree/shahada chadema ingebaki na wabunge wangapi, na ccm wangebaki wangapi?