Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Ni desturi ya muda mrefu unapofanyika uchaguzi na mshindi anapopatikana kupongezwa na wadau mbalimbali wakiwemo marais kama kama ni uchaguzi Wa marais. Tumeshudia hivyo hata kwa Raid mteule Wa Marekani Donard Trump.
Lakini kuaa kitu najiuliza, hivi Katika uchaguzi uliopita nchini Gambia no Mgombea Wa chama pinzani kuibuka mshindi, je Rais wetu alimtumia salami za pongezi kwa ushindi? Kwa nini?
Hilo ndio swali langu, wenye majibu tafadhari!
Lakini kuaa kitu najiuliza, hivi Katika uchaguzi uliopita nchini Gambia no Mgombea Wa chama pinzani kuibuka mshindi, je Rais wetu alimtumia salami za pongezi kwa ushindi? Kwa nini?
Hilo ndio swali langu, wenye majibu tafadhari!