Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,579
- 25,649
Mkuu upo sahihi kabisa hiyo ntaendelea kuamini hivyo maana ni dk kadhaa tuu na sipotezi kitu hapo...Sure- Kwenye hili kila mtu anapaswa kufata anachoamini.Binafsi the theory behind kuacha gari for 10 minutes naiamini completely.Lengo la kuacha gari kwa muda ni kufanya components za engine kuweza kurudia umbo lake la awali bila kuathirika,and according to Engineer KYANDO (NIT)-Upoozaji huu huusisha njia tofauti tofauti ikiwemo exhaust system.