Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
Wadau nina swali, wengi mmeshasikia kwamba usikimbilie kuzima gari ikiwa gari imetoka kufanya safari ya umbali mrefu.
Katika pitapita zangu mitandaoni, nimeona hili angalizo likiwekwa kwa gari zenye turbo tuu ndo ziachwe silence kwa muda kabla ya kuzimwa.
Pia kuna wengine nimeona wakitoa maoni kuwa hii yapasa kwa gari za kizamani, kwani gari za kisasa unaweza zima punde tuu baada ya kufika safari yako.
Swali: ningependa kuuliza wajuzi kipi ni kipi katika swali hilo hapo juu.?
Katika pitapita zangu mitandaoni, nimeona hili angalizo likiwekwa kwa gari zenye turbo tuu ndo ziachwe silence kwa muda kabla ya kuzimwa.
Pia kuna wengine nimeona wakitoa maoni kuwa hii yapasa kwa gari za kizamani, kwani gari za kisasa unaweza zima punde tuu baada ya kufika safari yako.
Swali: ningependa kuuliza wajuzi kipi ni kipi katika swali hilo hapo juu.?