Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Swali ni hili au linalofanaa na hili:
"Hivi mh.Lissu kapona katika hatari kama hii ili aendelee tu kuishi kama ambavyo mimi na wewe tunaishi leo hii au kuna kazi ambayo bado hajaikamilisha na anatakiwa aikamilishe na kwa uwezo Mungu imepangwa kukamilika katika muda, siku na saa tusioijua mimi na wewe?"
Labda jiulize na swali hili la nyongeza lakini ambalo hapa linaweza kuwa relevant:
Hivi Mfalme Herode alietaka kumuua Yesu alifanikiwa na Yesu hakutimiza kazi Mungu aliomtuma?
Kaa sana na utafakari maswali haya na zaidi omba Mungu akujalie uzima ili uje kuwa shuhuda wa maono haya wakati ukifika.
"Hivi mh.Lissu kapona katika hatari kama hii ili aendelee tu kuishi kama ambavyo mimi na wewe tunaishi leo hii au kuna kazi ambayo bado hajaikamilisha na anatakiwa aikamilishe na kwa uwezo Mungu imepangwa kukamilika katika muda, siku na saa tusioijua mimi na wewe?"
Labda jiulize na swali hili la nyongeza lakini ambalo hapa linaweza kuwa relevant:
Hivi Mfalme Herode alietaka kumuua Yesu alifanikiwa na Yesu hakutimiza kazi Mungu aliomtuma?
Kaa sana na utafakari maswali haya na zaidi omba Mungu akujalie uzima ili uje kuwa shuhuda wa maono haya wakati ukifika.