Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nimeona watu wanashangaa kwenye sehemu za magazeti na internet kuhusu jd kuwa na mimba..
Labda msiojua mwanamke yoyote anaekuja dduniani lengo lake kubwa kabisa ni kuongeza duniani
eeh nasema hata huyo mwanai wa kike mdogo unaetunza jua unawatunzia watu waongeze uzao
Tukirudi swala la jd sidhan ni la kushngaza binafsi nilikuwa namwombea sana sana na hasa maadui zake waaibike hapa hapa duniani
akiwa kama mwanamke anastahili uzao na Mungu azidi kumbariki aongeze zaidi zaidi na zaid
Binfsi nilihisi ingekuwa wakati wa kuuliza mimba ya nani hilo ndio lakuongelea..kumekuwa na tatizo la wanandoa wengi kutunza watoto
sio wao na wengine mpaka wamekuwa chuo kikuu imebidi wakubali kama watoto wao..kwa miajili awezi kuvunja unyumba na mtoto ameshakua
so hilo la mimba sio tatizo ingawa na jua ana mume hata hao wanaotunza watoto kwenye ndoa wanakuwa na mume kama kawaida so nahisi
hili la mtoto wa nani ndio muhimu zaidi zaidi kujiuliza gadnerjr ama sema basi mbona unacheka
mchana mwema na lunch njema
Labda msiojua mwanamke yoyote anaekuja dduniani lengo lake kubwa kabisa ni kuongeza duniani
eeh nasema hata huyo mwanai wa kike mdogo unaetunza jua unawatunzia watu waongeze uzao
Tukirudi swala la jd sidhan ni la kushngaza binafsi nilikuwa namwombea sana sana na hasa maadui zake waaibike hapa hapa duniani
akiwa kama mwanamke anastahili uzao na Mungu azidi kumbariki aongeze zaidi zaidi na zaid
Binfsi nilihisi ingekuwa wakati wa kuuliza mimba ya nani hilo ndio lakuongelea..kumekuwa na tatizo la wanandoa wengi kutunza watoto
sio wao na wengine mpaka wamekuwa chuo kikuu imebidi wakubali kama watoto wao..kwa miajili awezi kuvunja unyumba na mtoto ameshakua
so hilo la mimba sio tatizo ingawa na jua ana mume hata hao wanaotunza watoto kwenye ndoa wanakuwa na mume kama kawaida so nahisi
hili la mtoto wa nani ndio muhimu zaidi zaidi kujiuliza gadnerjr ama sema basi mbona unacheka
mchana mwema na lunch njema