Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,442
Nina siku ya Tatu sasa naipitia Rasimu ya katiba yetu ili nione kama hili suala la haki ya kuchinja vitoweo limegusiwa kwa namna yeyote ile, maana naogopa isije katiba ikapita bila kugusia hii ishu alafu ikaacha watu wakiendelea kuvutana kwa kitu kidoogo, kiasi cha kuuana na mbaya zaidi kutokuwa na BASE ya kikatiba katika kusuruhisha pande husika.