Swala la kampuni za mabasi kuwa wanaweka nyimbo na movie

Ila Superfeo wamezidi. mi husafiri nao mara kwa mara. kuna siku nilipanda Sajda ndiyo nikaona kautofauti. Ile ni kampuni kubwa na ina watu wengi wachague mtu atakae kuwa anashughulikia enterteinment kwenye mabasi. wanamovie ya utani na ile ya selengo. miaka nenda miaka rudi.

Pia mimi nimegundua safarini watu wengi tunapenda movie za wanyama. hizo zimejaa kibao mitandaoni. waweke hizo kwa wingi. Yaani badala ya kutuburudisha wanaishia kutuchosha.
selengoooo
 
Kuna movie nliiona basi la Isamilo ya Mwanza , hiyo hiyo nikaiona Shabiby ya Moshi , hiyo hiyo Hajees ya Mbeya, nikaiona tena Machame investment na Bunda Bus.
Nikamwambia jamaa yangu abiria akacheka wakati Mimi nlikuwa irritated.
Bora uwe na earphone usikilize playlist yako au usome kitabu.
Sijui flash disk ni nani wamempa hiyo tenda.
umenichekesha mkuu.. kwamba kuna mtu pale ubungo kala tenda ya kuweka movies kwenye flash zao na anachofanya ni kuwawekea movies hizo hizo kwa mabasi yote
 
Habari wana JF,

Hili swala la kampuni za mabasi kuwa wanaweka nyimbo na movie hizo hizo tangu mwaka uanze linakera. Inapoteza maana ya kuwa moja ya burudani kwa wasafiri. Mfano mabasi ya Super feo na Selous yaneyoenda Lindi,Mtwara, Masasi,na Songea toka Dar magari yote nyimbo na movie ni zile zile tangu mwaka uanze....Inabore...nyimbo na movie za zamani na hazibadilishwi...
Hizo gari nimeacha kuzipanda siku hizi kwanza wanajisikia kisenge kwa kuwa njia ya lindi kwenda songea wapo wenyewe pili hawako fear hata ukiwa na kiroba kidogo cha mahindi watakuchaji hela kubwa...halafu nusu ya safari nyimbo zao ni za dini tu na filamu za kibongo zisizoeleweka
 
Hizo gari nimeacha kuzipanda siku hizi kwanza wanajisikia kisenge kwa kuwa njia ya lindi kwenda songea wapo wenyewe pili hawako fear hata ukiwa na kiroba kidogo cha mahindi watakuchaji hela kubwa...halafu nusu ya safari nyimbo zao ni za dini tu na filamu za kibongo zisizoeleweka
Fear = Fair.

Safiri na headphone zako, kula muziki uku unaperuzi internet kwa raha zako.
 
Bora watupigiage masongi.zikipigwa kwan'garu ya diamond na harmonize.mbona POA TU hata safari nzima replay za kutosha kuliko kutufia movies
Asee tunatofautiana sana!Nikisikia tu "wasafi"huwa natamani niteremke maana nyingi huwa ni ujinga ujinga tu wa wazaramo.
Nashangaa bongo wasanii wengi tena wanafanya vizuri sana kuliko huyo diamond lakini nyimbo zao hazipigwi.
Ni bora wasituwekee kila mtu asikilize mwenyewe kupitia headset
 
Kuna movie nliiona basi la Isamilo ya Mwanza , hiyo hiyo nikaiona Shabiby ya Moshi , hiyo hiyo Hajees ya Mbeya, nikaiona tena Machame investment na Bunda Bus.
Nikamwambia jamaa yangu abiria akacheka wakati Mimi nlikuwa irritated.
Bora uwe na earphone usikilize playlist yako au usome kitabu.
Sijui flash disk ni nani wamempa hiyo tenda.
Kumbuka kuna wengne hwana Tv huwa nao wana enjoy kweny basi japo nao wajiskie ni wanadamu..ndo wale kitu hakichekeshi kaanza kujiandaa kupasukiwa amna mfano vile..
 
Habari wana JF,

Hili swala la kampuni za mabasi kuwa wanaweka nyimbo na movie hizo hizo tangu mwaka uanze linakera. Inapoteza maana ya kuwa moja ya burudani kwa wasafiri. Mfano mabasi ya Super feo na Selous yaneyoenda Lindi,Mtwara, Masasi,na Songea toka Dar magari yote nyimbo na movie ni zile zile tangu mwaka uanze....Inabore...nyimbo na movie za zamani na hazibadilishwi...


Hapo ndiyo ujifunze kuwa hakuna creativity, ni utamaduni wa kuigana, hiyo haipo huko tu ni mabasi yote nchi nzima, nakumbuka ni bus moja tu la Abood (Moro Dar) mwanzoni mwa mwaka huu waliweka documentary ya utalii kwa Tanzania, ilisisimua sana, wengi wali appreciate kwakuwa safari nzima hatukuona wavaa vichupi, wala kata k, wala vitovu nje.

Lakini movies unazolalamikia Mkuu kama ni zile zisizo na maadili basi ujue ndiyo mentality ya madereva wetu imekomea hapo hawajiongezi, wanadhani kila msafiri anawaza vitovu, chupi nk
 
Asee tunatofautiana sana!Nikisikia tu "wasafi"huwa natamani niteremke maana nyingi huwa ni ujinga ujinga tu wa wazaramo.
Nashangaa bongo wasanii wengi tena wanafanya vizuri sana kuliko huyo diamond lakini nyimbo zao hazipigwi.
Ni bora wasituwekee kila mtu asikilize mwenyewe kupitia headset



Madereva wengi hawana elimu Mkuu, wanachoweza kufanya zaidi ya kuzungusha usukani ni kuongeza sauti ya hizo nyimbo, akili ya kwamba siku hizi kila mtu ana burudani yake kiganjani, mfukoni au kwenye bag hawana kabisaa!! Teknolojia imekuwa lakini watumiaji wake wanazidi kuwa washamba wa kutupwa, hizo headset madereva hawaoni kama ni moja ya kitu cha kiistarabu ila kwao speakers kubwa na kelele ndiyo fahari
 
Fear = Fair.

Safiri na headphone zako, kula muziki uku unaperuzi internet kwa raha zako.
Earphone hupaswi kusikiliza kwa masaa zaidi ya mawili ni hatari sana na kuchati pia kuna maeneo hakuna network na sauti za haya mavitu yao huwa ni kubwa sana
 
Madereva wengi hawana elimu Mkuu, wanachoweza kufanya zaidi ya kuzungusha usukani ni kuongeza sauti ya hizo nyimbo, akili ya kwamba siku hizi kila mtu ana burudani yake kiganjani, mfukoni au kwenye bag hawana kabisaa!! Teknolojia imekuwa lakini watumiaji wake wanazidi kuwa washamba wa kutupwa, hizo headset madereva hawaoni kama ni moja ya kitu cha kiistarabu ila kwao speakers kubwa na kelele ndiyo fahari
Kwenye safari walipaswa kutenga angalau muda wa masaa manne kwa safari ndefu kila mtu afanye chake wa kulala alale wa kusikiliza mziki wake asikilize wa kuongea waongee lakini sio kuanzia ubungo hadi mwanza ni movie mziki na wanazirudia yani ukianza kuona maandishi tu "Mama Neema"unatamani ushuke
 
Kwenye safari walipaswa kutenga angalau muda wa masaa manne kwa safari ndefu kila mtu afanye chake wa kulala alale wa kusikiliza mziki wake asikilize wa kuongea waongee lakini sio kuanzia ubungo hadi mwanza ni movie mziki na wanazirudia yani ukianza kuona maandishi tu "Mama Neema"unatamani ushuke


Wamejaa ushamba tu, nadhanj designers wa mifumo ya entertainment kwenye mabasi wangeweka matundu ya headphones kama kwenye flights badala ya speakers
 
Serikali ipige marufuku haya mambo watu turudi kama zamani kila mtu ajipange kwa safari yake, mwenye novel ajiandae, wa gazeti anunue, wa kusali asali, wa simu yake sawa n.k. Kuwaweka abiria wote eti uwafanye wategee akili zao zote kwa kile unachokipenda dereva si sawa kabisa, uwezo wa kutoa hii Huduma umewashinda na kinachoendelea sahivi ni kero tu na kelele kwenye mabasi
 
Movies za majuto na Jack Chan kila basi wanazo,inaboa mpaka basi
 
Earphone hupaswi kusikiliza kwa masaa zaidi ya mawili ni hatari sana na kuchati pia kuna maeneo hakuna network na sauti za haya mavitu yao huwa ni kubwa sana
pia earphone inabidi uweke sauti kubwa sana kushindana na kelele za bongo movie. kiti ambacho ni hatari.
 
Back
Top Bottom