Wasanii mbalimbali wa muziki wa kufoka maarufu kama Hip Hop leo walikutana katika kikao cha wasanii wanaofanya sanaa na muziki wa aina hiyo, kilichoandaliwa na Asar Entertaiment na Alliance Francaise, katika ukumbi wa Alliance Francaise Hall, ilikuweza kujadili ni jinsi gani wanaweza wakaendeleza sanaa hiyo katika kilele kilichojulikana kama Swahili Hip Hop Summit 2012. Ila tatizo linakuja, je watafanikiwa kutoka na media nyingi kutowaunga mkono wasanii wa Hip Hop ... Soma zaidi