MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,851
- 6,201
afu wanapga vizinga hao!
Senetor una mambo, yaani nimecheka mpaka basi, tena wana mbwembwe hao
Kila mmoja mikono juu kulingisha blackberry hata kama ya kichina
afu wanapga vizinga hao!
sura za kitambaa zinakuangusha wanakuchukulia pimbi!
We Kongosho wacha maneno yako, unafikiri kila aliyeko Ulaya/USA ni mbeba Mabox! Ka! watu tunakazi zetu huku kaka, siyo lazima wote tuwe Dar.
Kwahiyo unakereka na watu kuona fahari na magari yao hata kama hayako juu kwa vipimo vyako?Kaaaaazi kweli kweli.Wabongo tunapenda sana kua juu hela hatuna tunakoga vumbi hadi kwenye meno,watu wana magari mabaya makuu lakin akija mliman city akipark pale anatanua mikono utafikiri ameshuka ndani ya Maybach or Aston martin wananikera kinoma,au hawamuoni hasheem thabit akija pale anapark vogue nyeusi fresh tu wewe na ki-collora chako cha 89 unatanua makwapa
kwahiyo ukienda pale kazi yako kuchunguza nani kaja na gari gani!acha upimbi....walimbwende ndo kila kitu!mbwembwe zote zile pale za wanaume na kuvimbiana ni kwaajili yao!Wabongo tunapenda sana kua juu hela hatuna tunakoga vumbi hadi kwenye meno,watu wana magari mabaya makuu lakin akija mliman city akipark pale anatanua mikono utafikiri ameshuka ndani ya Maybach or Aston martin wananikera kinoma,au hawamuoni hasheem thabit akija pale anapark vogue nyeusi fresh tu wewe na ki-collora chako cha 89 unatanua makwapa
I'm reporting from the final destination aisee ni balaa..Kwahiyo unakereka na watu kuona fahari na magari yao hata kama hayako juu kwa vipimo vyako?Kaaaaazi kweli kweli.
Wewe King Kong jikune ujipatapo. Sasa ikiwa Hashim Thabeet anapark vogue ndiyo na sote tuanze kutafuta mavogue?
Wacha turinge na hivyo hivyo Mungu alivyotubarikia hata kama ni Vistarlet, Vitz au Nissan March. Kwanza hivyo havili mafuta kwenye foleni za Dar, jaribu kuringa na hilo vogue lako uone kama utaliweza kwa mshahara wa Tz.
kwahiyo ukienda pale kazi yako kuchunguza nani kaja na gari gani!acha upimbi....walimbwende ndo kila kitu!mbwembwe zote zile pale za wanaume na kuvimbiana ni kwaajili yao!
Kwahiyo unakereka na watu kuona fahari na magari yao hata kama hayako juu kwa vipimo vyako?Kaaaaazi kweli kweli.
Definition ya "Mbeba Box"=mbongo yeyote alieko ughaibuni whether ni US, UK, Canada etc ambaye anafanya kazi yoyote haijalishi iwe white collar or blue collar profession. Ndio maana hata John Mashaka ingawa yeye ni investment banker lakini bado ni mbeba box mwenzetu.Tunatumia hili neno la kubeba box kama humor. Usikonde.
I'm reporting from the final destination aisee ni balaa..
Definition ya "Mbeba Box"=mbongo yeyote alieko ughaibuni whether ni US, UK, Canada etc ambaye anafanya kazi yoyote haijalishi iwe white collar or blue collar profession. Ndio maana hata John Mashaka ingawa yeye ni investment banker lakini bado ni mbeba box mwenzetu.Tunatumia hili neno la kubeba box kama humor. Usikonde.
Unanikumbusha kuna chai maharage moja enzi za mwalim ilikuwa imeandikwa WAGUMU TRANS..wasolid hatunaga swagga.
Asante mkuu kwa ufafanuzi manake jamaa alikuwa kishajaa upepo!Definition ya "Mbeba Box"=mbongo yeyote alieko ughaibuni whether ni US, UK, Canada etc ambaye anafanya kazi yoyote haijalishi iwe white collar or blue collar profession. Ndio maana hata John Mashaka ingawa yeye ni investment banker lakini bado ni mbeba box mwenzetu.Tunatumia hili neno la kubeba box kama humor. Usikonde.
Wewe King Kong jikune ujipatapo. Sasa ikiwa Hashim Thabeet anapark vogue ndiyo na sote tuanze kutafuta mavogue?
Wacha turinge na hivyo hivyo Mungu alivyotubarikia hata kama ni Vistarlet, Vitz au Nissan March. Kwanza hivyo havili mafuta kwenye foleni za Dar, jaribu kuringa na hilo vogue lako uone kama utaliweza kwa mshahara wa Tz.