flood
Senior Member
- Jul 10, 2017
- 117
- 184
Habari wanajukwaa la urembo na utanashati.
Nikianza na wanaume hasa wale ambayo tuna rangi ya mtume kutoka dubai na Beards sehemu za usoni tumekuwa na changamoto hasa tunaponyoa hizi Beards(sharubu) zetu katika swala zima la utanashati.
Baada ya muda vipele vinaanza kuwa kero na kuacha alama nyeusi pale ndevu zinapoota. Sasa basi nikiwa kama mmoja wa mkerekaji nikaamua kwenda kwa mzee mmoja wa kihindi hapa mjini nikamueleza maana kunyoa mara kwa mara kunakomaza ngozi na mm napenda kuwa na ngozi safi isiyona makovu basi akaingia dukani kwake akanipa kipande siwezi sema ni sabuni maana haina povu akaniambia tumia baada ya kushave.
Hiki kipande nimekitumia na ngozi iko super naweza kunyoa vyovyote bila kuwa na wasiwasi wa vipele tena.
Kwa wadada mnaweza kutumia mnaponyoa na kukuacha ukiwa huru.
Nikianza na wanaume hasa wale ambayo tuna rangi ya mtume kutoka dubai na Beards sehemu za usoni tumekuwa na changamoto hasa tunaponyoa hizi Beards(sharubu) zetu katika swala zima la utanashati.
Baada ya muda vipele vinaanza kuwa kero na kuacha alama nyeusi pale ndevu zinapoota. Sasa basi nikiwa kama mmoja wa mkerekaji nikaamua kwenda kwa mzee mmoja wa kihindi hapa mjini nikamueleza maana kunyoa mara kwa mara kunakomaza ngozi na mm napenda kuwa na ngozi safi isiyona makovu basi akaingia dukani kwake akanipa kipande siwezi sema ni sabuni maana haina povu akaniambia tumia baada ya kushave.
Hiki kipande nimekitumia na ngozi iko super naweza kunyoa vyovyote bila kuwa na wasiwasi wa vipele tena.
Kwa wadada mnaweza kutumia mnaponyoa na kukuacha ukiwa huru.