kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Mawazo ya kimasiki hayaJamaa kakosa tu Khanga na bikini! Maana anachamba balaa.
Mawazo ya kimasiki hayaJamaa kakosa tu Khanga na bikini! Maana anachamba balaa.
Gari ya kazi. Popote unafika bila wasiwasiHii gari haina tofauti na guta,yaani unakuwa kama unaendesha mkokoteni,siti zimekakamaa kama mabenchi
Hawana hela za kununu gari nzuri......We sema huna option tu,wengi wenu uwezo ndio umeishia hapo, utasikia oooh hii gari ni ngumu sana ni roho ya paka,wakati vinawahenyesha kweli kweli,wenzenu bongo zinasoma 2021 nyie bado mko 1995
Nissan imeingiaje hapa?Haina shida mkuu, ila kama walivyotangulia kushauri wadau hapo juu kama ishu ni wese nunua IST tu maana mafuta haya ambayo lita moja ina kodi zaidi ya 32 ni shida sana. Ila usije kujaribu Nisaan sijui Dualis sijui Extrail utakuja kunishukuru baadaye
Unamuachiaje gari fundi? Mm aisee anatengeneza nipo hapo hapo. Kama hajamaliza nitamletea kesho yake. Simuachii gari fundi. Kama halitembei nitamtafuta Gari ya kuvuta ili mradi usilale kwa fundiHizi suzuki Grand ni poa .
Sitasahau fundi alivyobomoa masega. Lkn chuma uko good 2.7v6
6 cylinder vp chief. Ile yenye 7 seats!Kama ni mtu wa shamba chukua Suzuki Escudo ya kuanzia mwaka 2001 mpaka 2005, 4 Cylinder,cc1990.
Ukipata 5 speed Manual gearbox utaenjoy zaidi. Kazi kwako
Four cylinder ndio yenyewe! Very economical and reliable. Chukua Manual Transmission
Bei yake Ni kwikwiFour cylinder ndio yenyewe! Very economical and reliable. Chukua Manual Transmission
No sometimes ukienda be forwad unakuta zipo za bei nzuri tu especially kipindi cha punguzoBei yake Ni kwikwi
Punguzo lini?No sometimes ukienda be forwad unakuta zipo za bei nzuri tu especially kipindi cha punguzo
Punguzo karibu na sikukuu mfano last year December walikua na punguZo. Pia pasaka wanakua na punguzoPunguzo lini?
Hahahabahatari sana mkuuHii ndo konde boy for everybodyView attachment 1913072View attachment 1913071View attachment 1913073View attachment 1913074