Kwa taarifaa yako suzan kiwanga sio mbunge wa viti maaluma ni mbunge wa jimbo la mlimba mkoan morogoro acha kuishi kwa mazoeaKama uteuzi wa wabunge wa viti maalum CHADEMA unazingatia Undugu, ukabila, mapenzi na sio uwezo binafsi basi tarajia watu kama akina Kiwanga kuongea maneno yasiyo na staha kabisa maana hawana cha kupoteza.
Yule mchukueni kwani ana sifa zote za kuwepo huko Chadomo.Yule aliyetaka bangi ihalalishwe alikuwa chama gani?
Mkuu kabla ya kuandika jiridhishe kwanza..Kiwanga ni Mbunge wa Jimbo la Mlimba mkoani Morogoro ..Kama uteuzi wa wabunge wa viti maalum CHADEMA unazingatia Undugu, ukabila, mapenzi na sio uwezo binafsi basi tarajia watu kama akina Kiwanga kuongea maneno yasiyo na staha kabisa maana hawana cha kupoteza.
Two wrong doesnt make a right mkuu amekosea no point of justifying that kwa kulinganisha na kina nani wamefanya nini in pastMwehu Tu Ww, Mh. Kiwanga Ni Mbunge Wa Viti MAALUM!!!? Kama Haujui Waulize Wenye Uelewa Kwanza!!!! ALAFU Kusema "Kwanza Ww Sio Mtanzania "Sio La Kushangaza, Kwani Ni Urithi Toka Chama Tawala (CCM) Juzi Tu Aliambiwa Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa Wa Mwanza Na RC Wake!! KUWA Ww Sio RAIA (MTANZANIA) Na Pia Hussein Bashe Alipokuwa Akitaka Kugombea Ubunge Wa Jimbo La Nzega 2010!!! Akaambiwa Sio Raia Na Kupelekea Kukatwa Jina Lake, Akiwa AMEPITA Ktk Kura Za Maoni!!! NA Kuna Wengi Tu Waulize Akina Jenerali Ulimwengu Wawambie Hali Ilivyo!!! HIVYO Mh. Kiwanga Amerudia Tu!!!
Hawajitambui kama sio mtanzania lazima aambiweOoooh kumbe mkuki kwa nguruwe?umesahau mlivyo fanya zenji kwenye sherehe za mapinduzi?
Atajuwaje wakati hicho cha kuandika anaandaliwa na lumumba?Mkuu kabla ya kuandika jiridhishe kwanza..Kiwanga ni Mbunge wa Jimbo la Mlimba mkoani Morogoro ..
Huyu chacha ombara ni mkurya wa kenya na yeye sio mtanzaniaMkuu nakwambia kuwa ninakujua kuliko unavyo jijua na ni afadhali unyamaze tu yaishe
Mkuu huyo ni made in karagwe kule mpakani mwa bongo na rwandaHuyu chacha ombara ni mkurya wa kenya na yeye sio mtanzania
Nyinyi mlipo mwambia Bashe kuwa siyo mtanzania mlikuwa na maana gani?au kitu kikisemwa na ccm ndio halali?uhalali huo kawapa nani?hii nchi ni yetu sote wacheni kujimilikishaHivi hawa si ndio walikuwa wanapinga ubaguzi uliofanyika kisiwani?
Mkuu Kiwanga siyo Mbunge wa Viti Maalum,huyu ni Mbunge wa Jimbo la Mlimba lililopo katika Mkoa wa Morogoro!Kama uteuzi wa wabunge wa viti maalum CHADEMA unazingatia Undugu, ukabila, mapenzi na sio uwezo binafsi basi tarajia watu kama akina Kiwanga kuongea maneno yasiyo na staha kabisa maana hawana cha kupoteza.
Kwa hiyo kitu kikifanywa na CCM sio halali ili UKAWA wakifanya ni sahihi? Hapa suala ni kwamba CCM walikosea na hiyo haina maana kuwa nyinyi pia mrudie makosa hayo hayo eti kwa kuwa CCM walifanya. Utakuwa ni ujuha. Unataka kuniambia CCM wakikosea katika utendaji na nyie mkilirudia kosa hilohilo msikumbushwe na kukosolewa? Huo uhalali mnautoa wapi?Nyinyi mlipo mwambia Bashe kuwa siyo mtanzania mlikuwa na maana gani?au kitu kikisemwa na ccm ndio halali?uhalali huo kawapa nani?hii nchi ni yetu sote wacheni kujimilikisha