Suzani Kiwanga: Mbunge wa Kishapu sio raia wa Tanzania

idawa

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
25,284
38,312
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kiarabu )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
fbb625549dae6fb5652dcc413dd05472.jpg
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kisomali )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kila siku CHADEMA mnawalaumu CCM kwa ubaguzi Zanzibar kumbe na nyie ni wabaguzi wakubwa tu.Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
Hivyo huyo ni chotara au ni hizbu?
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kisomali )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kila siku CHADEMA mnawalaumu CCM kwa ubaguzi Zanzibar kumbe na nyie ni wabaguzi wakubwa tu.Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
Mtaendelea kuwashwa sana nyie magamba mwaka huu,hamna pa kukimbilia
 
Kama uteuzi wa wabunge wa viti maalum CHADEMA unazingatia Undugu, ukabila, mapenzi na sio uwezo binafsi basi tarajia watu kama akina Kiwanga kuongea maneno yasiyo na staha kabisa maana hawana cha kupoteza.

Aligeuza bunge kuwa uwanja wa mipasho, kuna haja ya wabunge wa Chadema kupigwa msasa.
Ubaguzi ni dhambi mbaya sana. !
 
Kama uteuzi wa wabunge wa viti maalum CHADEMA unazingatia Undugu, ukabila, mapenzi na sio uwezo binafsi basi tarajia watu kama akina Kiwanga kuongea maneno yasiyo na staha kabisa maana hawana cha kupoteza.
Mwehu Tu Ww, Mh. Kiwanga Ni Mbunge Wa Viti MAALUM!!!? Kama Haujui Waulize Wenye Uelewa Kwanza!!!! ALAFU Kusema "Kwanza Ww Sio Mtanzania "Sio La Kushangaza, Kwani Ni Urithi Toka Chama Tawala (CCM) Juzi Tu Aliambiwa Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa Wa Mwanza Na RC Wake!! KUWA Ww Sio RAIA (MTANZANIA) Na Pia Hussein Bashe Alipokuwa Akitaka Kugombea Ubunge Wa Jimbo La Nzega 2010!!! Akaambiwa Sio Raia Na Kupelekea Kukatwa Jina Lake, Akiwa AMEPITA Ktk Kura Za Maoni!!! NA Kuna Wengi Tu Waulize Akina Jenerali Ulimwengu Wawambie Hali Ilivyo!!! HIVYO Mh. Kiwanga Amerudia Tu!!!
 
Ukileta ubishi tutaanza kuchunguza uraia wako au unafikiri hatukujui?
Ukweli utasimama pale pale, chadema na ubaguzi ni chanda na pete.We tukana yooote lakini utarudi kwenye mstari.Na kwa taarifa yako mimi mhaya orijino wa Kiziba.
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kisomali )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kila siku CHADEMA mnawalaumu CCM kwa ubaguzi Zanzibar kumbe na nyie ni wabaguzi wakubwa tu.Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
NDIO Umekaaa Kitako Na Kuandika UZI Na Kuupost Jf Kabisa!! HATA Mashiko Hauna, Si Wabunge Wenu Kazi Yao Ni Kujibu MICHANGO Ya Wale Wa UPINZANI Ndio Sera Yao!!! So Kama Mbunge Akija Na Maneno Ya SHOMBO, Lazima Apakwe Mavi Tu!!!!
 
Ukweli utasimama pale pale, chadema na ubaguzi ni chanda na pete.We tukana yooote lakini utarudi kwenye mstari.Na kwa taarifa yako mimi mhaya orijino wa Kiziba.
Mkuu nakwambia kuwa ninakujua kuliko unavyo jijua na ni afadhali unyamaze tu yaishe
 
Aligeuza bunge kuwa uwanja wa mipasho, kuna haja ya wabunge wa Chadema kupigwa msasa.
Ubaguzi ni dhambi mbaya sana. !
Ooooh kumbe mkuki kwa nguruwe?umesahau mlivyo fanya zenji kwenye sherehe za mapinduzi?
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kisomali )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kila siku CHADEMA mnawalaumu CCM kwa ubaguzi Zanzibar kumbe na nyie ni wabaguzi wakubwa tu.Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
Siwezi kukuamini mpaka nisikie live!!
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kisomali )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kila siku CHADEMA mnawalaumu CCM kwa ubaguzi Zanzibar kumbe na nyie ni wabaguzi wakubwa tu.Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.


Bro Ujinga mwingi wanao fanya CCM mjengoni mbona hayo ? Ubaguz upi kama jamaa watu wanajua siyo raia wasiseme ? So katukanwa dawa yake ni kwenda mahakamani akamda Suzana . Je anaweza ? Mpeni ushauri awahi
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kisomali )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kila siku CHADEMA mnawalaumu CCM kwa ubaguzi Zanzibar kumbe na nyie ni wabaguzi wakubwa tu.Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
umeyasahau ya CHOTARA HIZBU ?
 
Back
Top Bottom