Ni kichekesho mtu kama Suzane Mungy kupewa ukurugenzi wa Current News kwenye Taasisi ya Utangazaji (TUT).
Huyu Suzane hana uzoefu alikuwa mwandishi kanjanja tu.Alikuwa ITV akielekezwa jinsi ya kusoma habari,elimu hana. Tido alipofika UK akamchukua na kumpa BBC hapa akanunua cheti feki za Mass Communication. Hivi sasa Tido kamchukua, huku ikijulikana ni nyumba yake ndogo. Kuna wengi wana uzoefu wa habari hawajapewa nafasi kama hii.
Pia kuna huyu Salva Rweyemamu amepewa nafasi kubwa sana kwenye serikali ya JK. Wakati ni mtu wa ovyo sana.
JK sehemu nyeti kama hizi si vyema kuwapa watu kama fadhila. Hao walikuwa UK. Kama kampeni kuna watu vijijini walikuwa wakivaa fulana zako na kupigana na wengine wakifanya kampeni usiku na mchana. Hawa umewalipa nini?
Huyu Suzane hana uzoefu alikuwa mwandishi kanjanja tu.Alikuwa ITV akielekezwa jinsi ya kusoma habari,elimu hana. Tido alipofika UK akamchukua na kumpa BBC hapa akanunua cheti feki za Mass Communication. Hivi sasa Tido kamchukua, huku ikijulikana ni nyumba yake ndogo. Kuna wengi wana uzoefu wa habari hawajapewa nafasi kama hii.
Pia kuna huyu Salva Rweyemamu amepewa nafasi kubwa sana kwenye serikali ya JK. Wakati ni mtu wa ovyo sana.
JK sehemu nyeti kama hizi si vyema kuwapa watu kama fadhila. Hao walikuwa UK. Kama kampeni kuna watu vijijini walikuwa wakivaa fulana zako na kupigana na wengine wakifanya kampeni usiku na mchana. Hawa umewalipa nini?