FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Nungwi,
Unajua ndugu yangu inabidi ujenge uwezo wa kusoma katikati ya mistari. Niliposema ya Mungy ni umbeya bado nasimama kutetea hayo Dr Who au GT vyovyote ajiitavyo hakumtendea vyema kusema mambo personal ya Suzzane. Kuzaa mtoto na mdogo wa nani vile havituhusu hapa JF. Umewapima DNA? udaku tu period!
Lunyungu,
Umekosea maana nina uhakika unafikiri mimi ni flani wakati sio kweli, absolutely NO! kule Tanzanet watu wengi wamekuwa wakisema FD ni fulani na mimi nimekuwa nikichekelea kwa pembeni.
GT ameambiwa atoe jina la kampuni wapi? tunasubiri jina la kampuni kama hamna jina hacheni udaku hatupo kwenye kitchen party hapa tuna ongea facts tu.
No investigation no right to write stuff!
Unajua ndugu yangu inabidi ujenge uwezo wa kusoma katikati ya mistari. Niliposema ya Mungy ni umbeya bado nasimama kutetea hayo Dr Who au GT vyovyote ajiitavyo hakumtendea vyema kusema mambo personal ya Suzzane. Kuzaa mtoto na mdogo wa nani vile havituhusu hapa JF. Umewapima DNA? udaku tu period!
Lunyungu,
Umekosea maana nina uhakika unafikiri mimi ni flani wakati sio kweli, absolutely NO! kule Tanzanet watu wengi wamekuwa wakisema FD ni fulani na mimi nimekuwa nikichekelea kwa pembeni.
GT ameambiwa atoe jina la kampuni wapi? tunasubiri jina la kampuni kama hamna jina hacheni udaku hatupo kwenye kitchen party hapa tuna ongea facts tu.
No investigation no right to write stuff!