Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ukiongea pumba nakukumbushia siku ulivyotoka jelalijuakali bana
In God we Trust
Ukiongea pumba nakukumbushia siku ulivyotoka jelalijuakali bana
Alafu utasikia mniombeeekazi ya kwanza kwa kiongozi yeyote makini ni kuwaunganisha wana taifa wote kuwa wamoja. kama ukishindwa kazi hii muhimu hayo maendeleo itakuwa ni ndoto!!.
Na dawa kubwa ya umoja wa kitaifa ni HAKI kwa wote.
Amelisahau hilo na hajui kuwa jela zimejengwa kwa ajili ya kukaa watuNnaona ume geuka kuwa Hakimu ,endelea tu kutoa tu Hukumu ila kumbuka Maisha ni kama Gwaride.
Anaongozwa na roho ya kishetaniNataman kuiona sura yako siku utakaposikia hawana hatia. Roho mbaya haikupi chochote zaid ya moto. Ni sawa kuwa kuwa na upande wako kimtazamo ila isiwe kishetan basi. Haya MBOWE yupo uraian unazan kukaa kwake ndani ww umepata nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mpinzani nchini Tanzania kunahitaji ukamilifu wa moyo thabiti na utayariTena bora ameondoka maana kwa umri wake angepigwa risasi saa hii tungekuwa tumeshasahau. Aende sehemu ambayo vyombo vya dola vinatumika kulinda usalama wake.
Wewe una adabu gani mbele ya jamii?
Unadhani wote wana akili za kikondoo kama wewe mkimbizi haramu?Kubambikwa ?,subiri sheria ifuate mkondo wake,acha ramli chonganishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kama yeye huyo aliye sababisha kuzaliwa kwake hajulikani maana ilikuwa kwenye mbio za mwengehongera sana kwa kinywa kichafu mama yako pia anaweza kupewa mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono
Shetani hajawahi kumshinda MunguHakika upinzani unataka moyo na kwakuwa mungu yu upande wa wanyonge naamini hayo mateso ni ya muda tu
In God we Trust