Suzan Kiwanga: Makato ya wabunge wa CHADEMA yako kikatiba na Spika Ndugai ameyabariki na hutukata sh 530,000 kila mwezi pale Bungeni

Ni UHUNI tu unafanyika hapa, leo Ndugai anaruka kimanga kama vile hakuhusika katika kubariki makato husika. Nasikia makato kama haya hata ndani ya ccm yapo lakini wamewekewa MKWARA mzito wasitoe siri hadharani. Bulaya alisema hivyo kwamba alipokuwa ccm Wabunge walikuwa wakikatwa pia ili kusaidia chama.

Akiongea baada ya kuhojiwa na Takukuru mbunge wa Mlimba mh Suzan Kiwanga amesema makato ya wabunge wa Chadema yako wazi kwenye katiba ya chama na yamebarikiwa na Spika Ndugai.

Kiwanga amesema kimsingi wabunge wa kuchaguliwa hukatwa na Spika sh 530,000 kila mwezi kutoka kwenye mshahara na posho zao na kuziwakilisha kwa katibu mkuu Chadema.

Suzan amemalizia kwa kusema wabunge wote waliridhia kanuni hiyo ya mapato ndio maana hakuna mbunge aliwahi kulalamika kabla Corona haijaingia.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Ni UHUNI tu unafanyika hapa, leo Ndugai anaruka kimanga kama vile hakuhusika katika kubariki makato husika. Nasikia makato kama haya hata ndani ya ccm yapo lakini wamewekewa MKWARA mzito wasitoe siri hadharani. Bulaya alisema hivyo kwamba alipokuwa ccm Wabunge walikuwa wakikatwa pia ili kusaidia chama.
Usijitoe ufahamu makato yamebarikiwa ndio maana wakakatwa 5 years.baada ya makato pesa bilioni 8 na ushee ziko wapi? Zimefanya Nini? Hao waliokatwa ndio wanataka majibu haya sio blah blah na kupombeka sanaaa
 
TAKUKURU hawana shida na makato kama ya kikatiba au si ya kikatiba.

TAKUKURU wanahoji wabunge kuhusu MATUMIZI ya hizo pesa/michango iliyochangwa.
 
Wacha ujuha wako. Kamuulize CAG Kichere ambaye alikagua vitabu vya Chadema na hakuona tatizo lolote lile na hivyo akatoa UNQUALIFIED REPORT

Usijitoe ufahamu makato yamebarikiwa ndio maana wakakatwa 5 years.baada ya makato pesa bilioni 8 na ushee ziko wapi? Zimefanya Nini? Hao waliokatwa ndio wanataka majibu haya sio blah blah na kupombeka sanaaa
 
Wacha ujuha wako. Kamuulize CAG Kichere ambaye alikagua vitabu vya Chadema na hakuona tatizo lolote lile na hivyo akatoa UNQUALIFIED REPORT
Sasa mna weweseka nini? Waacheni takukuru wafanye kazi yao, uoga wa Nini Kama zipo hizo bilioni 8?
 
Polepole: CCM kuna majizi makubwa, kila nikitaka kuwataja wakubwa wananizuia! | Hao wakubwa ni nani zaidi ya M/kiti? Ukiwa CCM hukamatiki?

Hao TAKUKURU wanafanya kazi ya kutumwa na dikteta ili kuiua chadema? Kuna MAJIZI ndani ya ccm mbona dikteta hakuwahi kuwatuma hao wahuni TAKUKURU wakachunguze MAJIZI ya ndani ya ccm? au Upotevu wa 2.7 trillions hazina? Hivi bilioni 8 na 2.7 trillions zipi zinahitaji kupewa kipaumbele cha KUCHUNGUZWA? :oops: :oops:

Sasa mna weweseka nini? Waacheni takukuru wafanye kazi yao, uoga wa Nini Kama zipo hizo bilioni 8?
:oops:
 
Polepole: CCM kuna majizi makubwa, kila nikitaka kuwataja wakubwa wananizuia! | Hao wakubwa ni nani zaidi ya M/kiti? Ukiwa CCM hukamatiki?

Hao TAKUKURU wanafanya kazi ya kutumwa na dikteta ili kuiua chadema? Kuna MAJIZI ndani ya ccm mbona dikteta hakuwahi kuwatuma hao wahuni TAKUKURU wakachunguze MAJIZI ya ndani ya ccm? au Upotevu wa 2.7 trillions hazina? Hivi bilioni 8 na 2.7 trillions zipi zinahitaji kupewa kipaumbele cha KUCHUNGUZWA? :oops: :oops:


:oops:
Mkuu,utapata presha bure ndugu yangu,,uwe mpole,,sisi ndio wataalamu
 
Akiongea baada ya kuhojiwa na Takukuru mbunge wa Mlimba mh Suzan Kiwanga amesema makato ya wabunge wa Chadema yako wazi kwenye katiba ya chama na yamebarikiwa na Spika Ndugai.

Kiwanga amesema kimsingi wabunge wa kuchaguliwa hukatwa na Spika sh 530,000 kila mwezi kutoka kwenye mshahara na posho zao na kuziwakilisha kwa katibu mkuu Chadema.

Suzan amemalizia kwa kusema wabunge wote waliridhia kanuni hiyo ya mapato ndio maana hakuna mbunge aliwahi kulalamika kabla Corona haijaingia.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Bora umeonge mama maana hata wengine hata katiba zenu hatujawai zisoma
ANGALIZO HUYO LIJUALIKALI NA WENZAKE WAJUE WANAENDA KUZIMI KIFO CHA MENDE KISIASA.
Mbeleko kuna mda hukatika ,tupo na tuona
 
Hii ni sawa na kuuliza mzazi wakp umetumia sh ngap tangu umenizaa mpk sasa!!. Kukatwa lazima sababu wakati unakuja kuwa kiongozi tayar watu walishatoa jasho lao na kuhusu matumizi nahisi chama kabla ya kuwachangisha walikubaliana tu hzo hela ni kwaajili ya nini na ndio maana wote wakakubal kukatwa hzo hela tatzo silioni
 
Akiongea baada ya kuhojiwa na Takukuru mbunge wa Mlimba mh Suzan Kiwanga amesema makato ya wabunge wa Chadema yako wazi kwenye katiba ya chama na yamebarikiwa na Spika Ndugai.

Kiwanga amesema kimsingi wabunge wa kuchaguliwa hukatwa na Spika sh 530,000 kila mwezi kutoka kwenye mshahara na posho zao na kuziwakilisha kwa katibu mkuu Chadema.

Suzan amemalizia kwa kusema wabunge wote waliridhia kanuni hiyo ya mapato ndio maana hakuna mbunge aliwahi kulalamika kabla Corona haijaingia.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Makato ya CWT,TUGHE vipi? Au kuna jambo zaidi ya makato?
 
Suzanne acha kutetea wizi wa Mbowe
Dada inaonekana wewe mama huruma wa lumumba
tapatalk_1591993770159.jpeg
 
Nafikiri hoja si uhalali wa makato bali matumizi yake na makubaliano yao. Leo mkifanya ujanja ujanja levels za chama mkipewa nchi si mtatuuza wazima wazima!
Matumizi yanakaguliwa na CAG, kwa mujibu wa sheria period. Argue intellectual na siyo mipasho
 
Akiongea baada ya kuhojiwa na Takukuru mbunge wa Mlimba mh Suzan Kiwanga amesema makato ya wabunge wa Chadema yako wazi kwenye katiba ya chama na yamebarikiwa na Spika Ndugai.

Kiwanga amesema kimsingi wabunge wa kuchaguliwa hukatwa na Spika sh 530,000 kila mwezi kutoka kwenye mshahara na posho zao na kuziwakilisha kwa katibu mkuu Chadema.

Suzan amemalizia kwa kusema wabunge wote waliridhia kanuni hiyo ya mapato ndio maana hakuna mbunge aliwahi kulalamika kabla Corona haijaingia.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Huyu ndio wanasema anahama chama chake? Watasubiri sana.

Amandla...
 
Back
Top Bottom