Tetesi: Suzan Kiwanga apiga hodi CCM

Wacha aende hizi ni nyakati za wapambanaji halisi si nyakati za magugu maji
Wakuu hii tetesi ni ya moto moto kabisa. Mchana huu nimepata fununu kutoka kwa mtu wa karibu wa Mbunge wa Jimbo la Mlimba,wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, Suzan Kiwanga. Tetesi ni kwamba Mama huyo machachari amekata tamaa na hana pa kushika.

CHADEMA Wilayani Kilombero imeparaganyika na hivyo hana sapoti kabisa. Zaidi ya yote ameishiwa hoja kwa kuwa sehemu kubwa ya yale alokuwa akilalamikia serikali sikivu ya CCM chini ya uongozi shupavu wa Rais Magufuli umeyafanyia kazi.

Mama Kiwanga yu njiani kujiunga na CCM.

Tetesi hizi ni kwa mujibu wa mtu wa karibu sana wa mbunge huyo.
 
Hamna cha ajabu wala cha haraka subiri akishahamia ndipo ulete habari. Hats Lissu alikuwaga Ccm akahama nikiasi cha kuamua sio dili kiivyo
 
Wakuu hii tetesi ni ya moto moto kabisa. Mchana huu nimepata fununu kutoka kwa mtu wa karibu wa Mbunge wa Jimbo la Mlimba,wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, Suzan Kiwanga. Tetesi ni kwamba Mama huyo machachari amekata tamaa na hana pa kushika.

CHADEMA Wilayani Kilombero imeparaganyika na hivyo hana sapoti kabisa. Zaidi ya yote ameishiwa hoja kwa kuwa sehemu kubwa ya yale alokuwa akilalamikia serikali sikivu ya CCM chini ya uongozi shupavu wa Rais Magufuli umeyafanyia kazi.

Mama Kiwanga yu njiani kujiunga na CCM.

Tetesi hizi ni kwa mujibu wa mtu wa karibu sana wa mbunge huyo.
Kati ya watu mabest kabisa wa Magufuli ni huyu Mama na Bulaya
 
Binafsi naamini wabunge wengi wa upinzani ni wazalendo hata kuzidi baadhi ya wabunge na viongozi wengi wa CCM wa awamu zilizopita na hata wa sasa.

Ilikuwa ni rahisi awamu zilizopita kuwaona baadhi ya wabunge wa CHADEMA wakitetea rasilimali za nchi kuliko baadhi ya wabunge wa CCM. Sasa sijui kimewapata nini CHADEMA awamu hii tumepata raisi mzalendo ambaye walipaswa kushirikiana naye kujenga nchi na kulinda rasilimali za nchi kwa faida ya Watanzania wao wanakalia kumpinga na kumdhihaki, sasa kwa akili za kawaida wale vijana wazalendo waliokwenda CHADEMA kwa ajili ya kutetea maslahi ya taifa lazima nafsi ziwasute. Matokeo yake wanatamani kufanya kazi na mzalendo JPM.

Nami naamini ikiwa hawa vijana wanatoka CHADEMA na kuhamia CCM watapata nafasi ya kufanya kazi na JPM basi Taifa litafika mbali maana wengi wao walishajaribugi kupata nafasi hiyo kupitia CCM lakini wakanyimwa kwa figisufigisu ila kwa sasa kwa kuwa JPM anataka wachapa kazi basi itakuwa ni nafasi kwao nzuri kuonesha uwezo na kulisaidia Taifa kusonga mbele.
Umenena vyema....
 
Chombo kinazama wewe unajifariji tu. Jipange. Wenzako wenye akili wameshashituka wameruka na sasa wapo nchi kavu huku wakishudia mnavyo tapatapa...
Kuondoka kwa watu ambao maslai yao yamekoma kunazamisha vipi chama
 
Wakuu hii tetesi ni ya moto moto kabisa. Mchana huu nimepata fununu kutoka kwa mtu wa karibu wa Mbunge wa Jimbo la Mlimba,wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, Suzan Kiwanga. Tetesi ni kwamba Mama huyo machachari amekata tamaa na hana pa kushika.

CHADEMA Wilayani Kilombero imeparaganyika na hivyo hana sapoti kabisa. Zaidi ya yote ameishiwa hoja kwa kuwa sehemu kubwa ya yale alokuwa akilalamikia serikali sikivu ya CCM chini ya uongozi shupavu wa Rais Magufuli umeyafanyia kazi.

Mama Kiwanga yu njiani kujiunga na CCM.

Tetesi hizi ni kwa mujibu wa mtu wa karibu sana wa mbunge huyo.
Ni sawa...

Ni uamuzi na haki yake....no problem!

Alimradi asitutukane aliotuacha!

Aondoke kistaarabu tu!
 
Ujinga mzigo!!
Huyu mama amekuwa mzigo sio kwa CDM tu hata CCM na familia yake. Hakuna mtu anayemzungumzia huko
jimboni kwake Mlimba.

Mleta mada acha upumbavu!! Barabara kutoka ifakara to Mlimba haipitiki mashimo kama handaki. Mwezi wa 4 na 5 kuna sehemu inaitwa kisegese mto ulikata barabara. Hiyo serikali yako sikivu imejibu hoja ya kukarabati miguu yako!!
Acha ujinga!
Kwani povu Ni ruksa????
 
Back
Top Bottom