nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Habarini wadau,
Kwakweli ni halali mashirika ya umma kufa kutokana na uzembe na uzito wa kufanyakazi kiasi kwamba wanajivuta sana maongezi binafsi yametawala hawako serious na wateja.
Jirekebisheni haraka huduma zenu mbovu kuliko wazito yaani mtumishi unakaa tu kisa fomu za maombi zimeisha na unamjibu mteja hivyo kirahisi tu na kuondoka,sijui mteja akatafute yeye fomu husika
Kwakweli ni halali mashirika ya umma kufa kutokana na uzembe na uzito wa kufanyakazi kiasi kwamba wanajivuta sana maongezi binafsi yametawala hawako serious na wateja.
Jirekebisheni haraka huduma zenu mbovu kuliko wazito yaani mtumishi unakaa tu kisa fomu za maombi zimeisha na unamjibu mteja hivyo kirahisi tu na kuondoka,sijui mteja akatafute yeye fomu husika