mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
Nmeskia hapa Tanzania suti ni zawadi nzuri sana hivyo nataka kumnunulia mtu suti 10 bila masharti lakini sijui bei, ndugu zangu nisaidieni nijue bei!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! We mwarabu nini!?
Anataka kujenga hotel Ngorongoro/Selous!! Na ninauhakika akinunua hizo suti kumi atapewa, si yule mwarabu aliyenunua suti za Savile Row alipewa kujenga hotel Serengeti na muwekezaji mwingine amekatiwa Mbuga ya Selous achimbe Uranium!!!Mkuu Mchakachuaji, kwani una mradi gani unataka upendeleo?
Basi akamwone mkulu, kwa mambo hayo ndo mwenyewe.Anataka kujenga hotel Ngorongoro/Selous!!
<br />Mkuu Mchakachuaji, kwani una mradi gani unataka upendeleo?
Yule mshikaji anavyopenda dezo mbona Gereji kashapata!!anataka kuinunua ikulu ya magogoni atengeneze gereji
<br />Acheni unafiki and fitina! Thats why wabongo hatuendelei,kufuatilia personal affairs za watu tupo vizuri sana! Kama mijike,umbea tu
Na sio kila mzungu ni mmisionari. Hakuna bure dunia hii. Hapo lazima unatega kwa kutoa kitu kidogo ili upate kikubwa. Imekaa kama wataka kumhadaa mzee wa watu kiwanja (Natania tu!!!). Ila yasije yakawa ni yale mambo ya akina Carl Peters na Chifu Mangungo. Ukiweza mtafute kijana wa Kitanzania anaitwa Sheria Ngowi, kama sikosei yuko Bangalore India, atakupa suti nzuri ile mbaya. M google tu, utafika kwenye blog yake.Koma Babkey! "Sio kila mzungu Padri" nipe bei ya suti nzuri
<br /><br /><br />
<br /><br />
Wewe una matatizo ya akili,mtu anavyofuja mali asili za nchi hizo ndizo personal affairs kwako? na pili umeonesha dharau kwa wanawake kwa kuwaiita mijike hiyo ni dharau kwao hata mama ako mzazi na ndugu zako wote wa kike umewadharau,acha kutumia akili za kimasaburi saburi au nawe ni sehem ya hyo familia? huna nidhamu wewe