Plot4Rent Tunauza Mashamba na Viwanja

Je yamefika maji ya Dawasco?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kuna viwanja vipo maeneo hayo vya mzee 1 mchaga kwa juu wanachimba kifusi/kokoto yule mzee na kundi lake matapeli
 
Ukitoka TEGETA, unaingia BOKO halafu BUNJU A kisha ndio unaingia BUNJU B
kuhusu swali lako, BUNJU B iko pande zote mbili kushoto na kulia na kuhusu kiwanja kipo upande wa kushoto ukiwa unaelekea bagamoyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekua kipo upande wa kulia ilipo bahari ingekua sawa kwa bei hio..
 
Walimtapeli kiwanja au pesa?
By the way mpaka mtu unafikia hatua ya kutapeliwa kuna sehemu husika hukupita kujiridhisha kwa usahihi.
Unaweza ukaanzia ngazi ya Mjumbe na hatimaye serikali za mtaa kujua uhalali/usalama Wa eneo.
Kisha kabla ya biashara kufanyika lazima uwe walau na mwanasheria wako na hapo kumbuka lazima uwe umeshafanya search ya plot kwenye sehemu husika (mathalani wizarani au manispaa)
Changamoto inakuja ni pale unapoona kupita hizo sehemu ni gharama kwako au ni kupoteza mda hivyo unaona ni bora umalizane na mwenye Mali kimya kimya bila hata kushirikisha serikali ya mtaa.
Hatimaye unapata changamoto ya kuuziwa Mali yenye mgogoro au unatapeliwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
alidhurumiwa pesa,iko hivi

wale jamaa wanakuonesha viwanja (vimeshapimwa kabisa) baada ya hapo unalipia ila wanakwambia muhusika kapata msiba kaenda moshi, ila mnamalizana kabisa huku mkiwasiliana kwa simu mjumbe, wahusika wa mtaa wakiwepo

baada ya kulipa kama wiki wiki 2 jamaa anadia karudi na viwanja alivyo kuwa anauza sio hivyo ni vingine (vilivyo mbali zaidi) anadai walio onyesha walifanya makosa

hivyo yeye hatambui hayo mauziano, mziki unakuwa kwenye kurudisha hela ama kupata ivyo viwanja vya mbali kama asemavyo.

kifupi kuna wizi flani
 
Kiwanja kinapatikana KIMARA, bonyokwa.
Km 3 kutoka kimara mwisho.

MAELEZO
kiwanja kina ukubwa wa sqm 900 (meter 30 kwa 30)
Kiwanja kipo katika mazingira mazuri na kipo tambarare chote
Huduma muhimu kama Maji na umeme vinapatikana
Eneo bado halijapimwa
Price: 17m (neg)
Call/SMS: 0756 832833
For serious person only.




IMG_20190313_164046.jpeg
IMG_20190313_161840.jpeg
IMG_20190313_161753.jpeg
IMG_20190313_161855.jpeg
IMG_20190313_161840.jpeg
IMG_20190313_161810.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kimara bonyokwa ipo km 3 toka kimara mwisho? Mi najua bonyokwa ipo karibu na tabata segerea sasa inakuwaje km 3 toka kimara mwisho.
Toa maelezo vizuri hata akija mwenyehaja kweli ya kununua ajue picha halisi.


Pia huyo jamaa aliyesema unauza kwa sababu ya mvua zilizopita haijui kimara au anafurahisha tu: Kimara hakuna mafuriko kwa sababu maji hayakai kuna miinuko na mifereji kimara na mbezi yote huwezi kusikia maji yameingia ndani kwa watu

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hivi kimara bonyokwa ipo km 3 toka kimara mwisho? Mi najua bonyokwa ipo karibu na tabata segerea sasa inakuwaje km 3 toka kimara mwisho.
Toa maelezo vizuri hata akija mwenyehaja kweli ya kununua ajue picha halisi.


Pia huyo jamaa aliyesema unauza kwa sababu ya mvua zilizopita haijui kimara au anafurahisha tu: Kimara hakuna mafuriko kwa sababu maji hayakai kuna miinuko na mifereji kimara na mbezi yote huwezi kusikia maji yameingia ndani kwa watu

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo

Uko sawa kabisa. Ndio maana tambarare ni adimu.
 
Umejibu vyema,
Bonyokwa unaweza kupitia maeneo tofauti na ukafika.
unaweza pita Morogoro road ambapo unaingilia KIMARA mwisho, pia unaweza kupitia Kinyerezi mwisho vilevile ukapitia njia ya Segerea (kabla ya kilima cha magereza) zote ni sehemu sahihi tu. Na kuhusu umbali sina uhakika sana kama ni sahihi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Na pia unaweza ingilia Ubungo- Makoka...
 
Hivi mbona Wahindi hawaangaikagi na mambo ya viwanja/kujenga nyumba za kuishi ila wanamiliki biashara za maana (za thamani ya Mabiloni)? Tunakwama wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom