only if u do it with the right person
only if u do it with the right person
mi hapo pa ''it helps yu sleep better''
power to you...basi usikomoe na misupu ya pweza au karanga mbichi plus miogo mibichi kuchanganya na wine heheheh
And what if you do with an illegal person?? Do you mean that you will not get those advantages mentioned??
And what if you do with an illegal person?? Do you mean that you will not get those advantages mentioned??
mostly!
manake hayo matokeo yote ni kwa vile akili imerilax kiasi kikubwa sana
huna hofu ya magonjwa
huna hofu ya mimba isotakiwa
huna hofu ya kufumaniwa
huna hofu ya kufededwa ukipitiwa na usingizi sana manke kuna mijitu mibazazi tu!
mradi tu akili inakuwa full kipupweni!
mmmmh!duh,hofu ya kufededwa?
kumbe mnakumbwa na mengii ehh?
usingizini hutashtuka?
mi hizi hofu sina si umeshasema hasa ukifanya na right person kwa hiyo wapo wanafanya na mibabazi ya mujini hapa oh!wakishamaliza tu chap chap bafu li wapi hao watafute taxi!jhuuu ya nini?jhuu ya nini?bhatu bhaache kujiachia ku fasi ya mukitanda baada ya kucompletee kazi iko kubwa namuna ile?jhuu ya nini!duh,hofu ya kufededwa?
kumbe mnakumbwa na mengii ehh?
usingizini hutashtuka?
hili hata mimi nalihofia muda si mrefu tutapigwa repatresheni!khaa! jamani ile amani tu nafsin ni kiboko yaani ukishapewa mpera wa haja unaonaje raha ya kuish?????????? lolest.........halafu ukute bni siku ulikuwa na hamu wallah utaona uko peponi .mmmh! niache nisije hamisa sred jukwaa bure
hili hata mimi nalihofia muda si mrefu tutapigwa repatresheni!
boss hakuna mtu mbaya kama mwanaume anayenunua kahaba manake hawa huwatumia wanawake hawa watakavyo simply kwasababu ya hela zao i hate them aisee............. yaani unakuta mwanaume kisa katoa hela yake anataka afirigise bao hata 7 mbele na nyuma huku akimaliza stail zote na kumfinya hadi kumtoa alama lol!poleni kwa kweli....
shshshshshshshhhhhhhhhhhh!.............................kimyaaaaaaaaaaaaaaaa