Sureboy hakustahili kuingia katika tuzo za msimu. Aziz Andambwile na Redondo Chombo wamemzidi kila kitu

adakiss23

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
4,475
4,265
Sureboy amesajiliwa Yanga katika dirisha dogo kutoka azam ambako hakuanza msimu vizuri sana mbele ya viungo wa Azam Keneth Muguna, Mudathir na wengine. Akaenda Yanga ambako tayari tayari Aucho, Bangala wametawala.

Muda ambao Sureboy kaingia ktk kikosi cha kwanza cha Yanga ni wakati Aucho alichelewa kurudi Uganda na akadai ana majeruhi ndo Sureboy akawa anaanza. Kimahesabu ni nusu ya pili ya mzunguko wa lala salama. Anaingiaje ktk kinyang'anyiro cha tuzo ya kiungo bora wa msimu kumzidi AZIZI ANDAMBWILE wa Mbeya city ambaye amekichafua sana msimu huu hakika amekuwa na wkaati mzuri mno hadi akaitwa ktk kikosi cha national team. Hivyo hivyo kwa Chombo REDONDO nadhani hili liko wazi hakuna atakayebisha wala kujadili uwezo wake msimu huu.

Nashindwa kuelewa kigezo kilichotumika kumuweka Sureboy katika category hii kwakweli.

Nawasilisha. ukichangia acha mihemko andika facts.
.
Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank...
Hiyo ni mipango tena imetajwa wakati wa kampeni...Usiwaamini sana wagombea ngoja tuone utekelezaji wake,Umefika muda sasa vilabu vyetu vishindane kwa miundo mbinu kama viwanja na academies na sio hizi bla bla bla.

South Africa wana vilabu vina miundo mbinu safi sana na wala havina mashabiki wengi kama hizi Yanga na Simba zetu.
 
Sureboy amesajiliwa Yanga katika dirisha dogo kutoka azam ambako hakuanza msimu vizuri sana mbele ya viungo wa Azam Keneth Muguna, Mudathir na wengine...

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Ulipata fursa ya kuangalia vigezo vyao wanavyotumia?Maana huwezi jua wanaangalia nini kuchagua,Mimi binafsi pia kuna wachezaji sijaelewa kwanini wamejumuishwa...Ila ni kawaida dunia nzima tuzo hazikosi lawama
 
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank...
Sawa Hersi rais wa klabu KIBARUA fungua uzi wako uandike haya sio kila uzi wa mtu unaandika haya kama malaya wa kizigua kapata bwana

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Sureboy amesajiliwa Yanga katika dirisha dogo kutoka azam ambako hakuanza msimu vizuri sana mbele ya viungo wa Azam Keneth Muguna, Mudathir na wengine...
Mbona hata Inonga alianza kuonekana mwishoni kabisa baada ya kumkamia Mayele kwenye mechi 2! Kocha Pablo alikuwa hata hampi kabisa nafasi ya kucheza.

Lakini mwisho wa siku alichaguliwa kwenye kikosi bora cha msimu, na pia alipendekezwa kuwa mchezaji bora!
 
Yanga wanajikuta wajanja wakati kila kitu mnaiga kwa simba hamna akili kushinda simba na haitakaa itokee hebu nikumbushe ni kitu gani simba wameiga kwa yanga ndo maana mnaitwa misekule.
 
Sawa Hersi rais wa klabu KIBARUA fungua uzi wako uandike haya sio kila uzi wa mtu unaandika haya kama malaya wa kizigua kapata bwana

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Yanga wanajikuta wajanja wakati kila kitu mnaiga kwa simba hamna akili kushinda simba na haitakaa itokee hebu nikumbushe ni kitu gani simba wameiga kwa yanga ndo maana mnaitwa misekule.
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Hiyo ni mipango tena imetajwa wakati wa kampeni...Usiwaamini sana wagombea ngoja tuone utekelezaji wake,Umefika muda sasa vilabu vyetu vishindane kwa miundo mbinu kama viwanja na academies na sio hizi bla bla bla...South Africa wana vilabu vina miundo mbinu safi sana na wala havina mashabiki wengi kama hizi Yanga na Simba zetu.
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Back
Top Bottom