sura zinavyokuwa kabla na baada ya kula kichapo cha makonde ya kufa na mtu!!!

pageup

Senior Member
Oct 12, 2012
156
59
lini uliwahi kupigwa???!!na kwa sababu gani??na nomber ipi kati ya hizo za kwenye picha inayoeleza hali ya maumivu uliyokuwa nayo baada tu ya kula kichapo??!!





1 a_boxers_face_before_and_after_taking_a_few_punches_640_02.jpg
2 a_boxers_face_before_and_after_taking_a_few_punches_640_03.jpg
3 a_boxers_face_before_and_after_taking_a_few_punches_640_05.jpg
4 a_boxers_face_before_and_after_taking_a_few_punches_640_06.jpg
5 a_boxers_face_before_and_after_taking_a_few_punches_640_11.jpg
6 a_boxers_face_before_and_after_taking_a_few_punches_640_07.jpg
 
Huyo wa pili tokea mwisho reception yake awe amepigwa au hajapigwa bado ina mushkeli
 
Tatizo la kichapo ni kuwa mara zote wakati unakipokea husikii maumivu,baada ya tukio ndio unakoma....
 
Back
Top Bottom