SURA ZA MAJAMBAZI!

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,660
Najua waliitwa Majambazi kwa tabia zao mbaya za kupora watu kwa kutumia silaha ndio maana jina lao bayaa!!....Hivi MAJAMBAZI WANA SURA GANI? Yaani wanafananaje? Ni mijituu mikubwa mikubwa yaani Minjemba Au ipoje ipoje? Utasikia watu wasio julikana! Hivi hao wasio julikana Wapoje

Msaaba Tafadhari mwenye sura Za Majambazi anisaidie .....nilikuwa nawasikia toka nikiwa mkoani kijijini ...nilitamani siku kuja kuwaona wanavyo onekana lakini nimekuja mjini hadi leo sijawahi kuowaona kwa Macho majambazi hivi hawa watu wapoje wapoje eti?
 
Kwanza jambazi haangaliagi mtu usoni sio kwamba ana aibu ila anajijua yakuwa aliyoyafanya ni mengi kwa hiyo hajui ni lipi litakalo mkamatisha
 
Angalia Bongo Movie MAJAMBAZI WALIVYO.

1.WANAVAA MAKOTI MAREFU.
2.WANAVUTA SIGARA.
3.WANAVAA MIWANI.
4.WANA KUNJA SURA ZIONEKANE NGUMU/NZITO.
 
majambaz wamegawanyika ktk makundi tofauti;
wanawake wanaowachuna wanaume nao n majambaz

wafanyakaz wanaogushi malipo nao n majambaz

wanaovamia na kupora kwa kutumia silaha nao n majambaz

wanaochaguliwa ili kuwakilisha wananch bungen na wanafanya mambo yao nao n majambaz

waongo na matapeli nao n majambaz. n.k

maana yangu sasa majambaz hawana sura moja wao huwa na sura na mionekano tofauti kulingana na matukio wanayotaka kufanya.
 
Najua waliitwa Majambazi kwa tabia zao mbaya za kupora watu kwa kutumia silaha ndio maana jina lao bayaa!!....Hivi MAJAMBAZI WANA SURA GANI? Yaani wanafananaje? Ni mijituu mikubwa mikubwa yaani Minjemba Au ipoje ipoje? Utasikia watu wasio julikana! Hivi hao wasio julikana Wapoje

Msaaba Tafadhari mwenye sura Za Majambazi anisaidie .....nilikuwa nawasikia toka nikiwa mkoani kijijini ...nilitamani siku kuja kuwaona wanavyo onekana lakini nimekuja mjini hadi leo sijawahi kuowaona kwa Macho majambazi hivi hawa watu wapoje wapoje eti?
 
majambaz wamegawanyika ktk makundi tofauti;
wanawake wanaowachuna wanaume nao n majambaz

wafanyakaz wanaogushi malipo nao n majambaz

wanaovamia na kupora kwa kutumia silaha nao n majambaz

wanaochaguliwa ili kuwakilisha wananch bungen na wanafanya mambo yao nao n majambaz

waongo na matapeli nao n majambaz. n.k

maana yangu sasa majambaz hawana sura moja wao huwa na sura na mionekano tofauti kulingana na matukio wanayotaka kufanya.
Hahahahahsh
 
Hahaaa hata demu / me aliye kugeuza kitega uchumi chake ni Jambazi!!!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom