Sura za KUFA Mtu

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
15080_538769789468406_1971605213_n.jpg
 
Dah huyu jamaa kafanana na kaka angu balaa tofauti bro pua yake kubwa!
 
Mjombaa ake yule kiongozi wetu anayepayuka hovyo!!! Dah inatisha!! Ila sote twasema tu sura na mfano wa mwenyezi Mungu!!
 
Uyu anafaa kwenda mbuga zetu ikiwemo serengeti majangili akiwemo kinana awatazama msituni kuwaua tembo pia faru wetu
 
...hivi wewe Mbuzi Mzee unataka nikunjinje kabla ya krismasi eeh!?
Nani kakuambia uweke picha yangu humu?
...ngoja utakiona cha moto...ole wako "maduu" waning'ang'anie humu..
 
Last edited by a moderator:
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom