Wamechukizwa sana ccm kuwa chama DOLA,Wanaona kama wanachonganshwa na jamiiyani hawa jamaa wanaomba usiku na mchana jamaa aliewateua asishindwe uchaguzi...!
manake akishindwa tu, kabarua kinaota nyasi...!
HAYA NI MWIBA SAANA KWA UPINZANI KUINGIA IKULU..! KUMBUKA KENYA...!