kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,716
- 13,184
Ukiona umeshatambua mila zawatu basi umetambua uchawi uwe umethibitisha au laaaa..unasikiliza serikali ya TANU +CCm....Si wanasema serikali haiamin uchawi kumbe ni msemo tyu ila inaamini ...serikali ni raia na bila raia hakuna serikali so usemi wa serikali haiamin uchawi na maneno tyu....raia hawaamin uchawi hahahhaahha
Sent using Jamii Forums mobile app