donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
- Thread starter
- #21
Ni kweli mkuu, nitazingatiaHaujakoma?Ngoja uumwe tena tumbo.Linda sana tumbo lako.Penda kula viazi vilivyochemshwa,mtindi,maziwa fresh,juice za matunda mbalimbali,dona,karanga mbichi,matunda,mboga za majani,nafaka za ngano,mtama,mihogo,supu ya samaki na kadhalika.