Salaams wana jf,
anayejua mahoteli au mikahawa ipatikanapo supu ya pweza, hapa dar es salaam anijulishe; please!!!!. Mimi ni mpenzi wa sea foods na sina jiko.
Edylux
mtaa wa sudani knyama kwa HAMMY JEII...PWEZA NA NGISII WA KUMWAGAAAA JIONIII DAILY...Salaams wana jf,
anayejua mahoteli au mikahawa ipatikanapo supu ya pweza, hapa dar es salaam anijulishe; please!!!!. Mimi ni mpenzi wa sea foods na sina jiko.
Edylux
Steve D hapo ni wapi sasa, for sure umetutamanisha!!!!
Hata Sea Cliff wanayo bomba sana
Hata Sea Cliff wanayo bomba sana
[/QUOTE]KWA NINI PWEZA HUUZWA MAGENGENI ?? HAKUNA MAHOTELI AU MIKAHAWA ?? NITAJIENI HOTELI
...chunga msiharibu keyboard zenu tu kwa udenda...