Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,013
Siku moja kulikua mechi ya Simba na Yanga, tiketi zilikua zinauzwa pale buguruni sheli.
Mimi naishi mbezi mwisho, nikaona ninunue tiketi pale, niende uwanjani nikiwa na uhakika.
Baada ya kupata tiketi, na kwakua bado asbuhi ya saa tatu, nikaona nitembetembee kidogo buguruni, sababu mara nyingi napita barabarani tu.
Nilitoka nyumbani bila kupata chai, nikaingia sehemu nipate chochote, ni bar, nikaagiza Supu, aise ile Supu walisema ya ng'ombe, ila haikua na ladha ninayoijua kabisa, yaani pale nilikula mbwa Live, kiasi kikubwa cha nyama nilimtupia paka.
Na kuna siku nilimwagizia jamaa ya anunue mishikaki, kuja kula ile mishikaki, ukitafuna ina sikIka grii grii ila mitamu sana na laini, nikatema nikaachana nayo, yaani yule alikua paka Live.
Mimi naishi mbezi mwisho, nikaona ninunue tiketi pale, niende uwanjani nikiwa na uhakika.
Baada ya kupata tiketi, na kwakua bado asbuhi ya saa tatu, nikaona nitembetembee kidogo buguruni, sababu mara nyingi napita barabarani tu.
Nilitoka nyumbani bila kupata chai, nikaingia sehemu nipate chochote, ni bar, nikaagiza Supu, aise ile Supu walisema ya ng'ombe, ila haikua na ladha ninayoijua kabisa, yaani pale nilikula mbwa Live, kiasi kikubwa cha nyama nilimtupia paka.
Na kuna siku nilimwagizia jamaa ya anunue mishikaki, kuja kula ile mishikaki, ukitafuna ina sikIka grii grii ila mitamu sana na laini, nikatema nikaachana nayo, yaani yule alikua paka Live.