mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,805
- 105,966
Nakumbka zamani kiria bar kinondoni supu saa moja tu asubuhi iko tayari watu tupo Hapo unapiga supu na unashushia safari zako 2 mapema tu
Pr Camp walikuwa na supu nzuri pia
Hugo mwembe jini pale mchemsho wao
Ulikuwa safi
Opposite na makaburi ya kinondoni sahv breakpoint kuna jamaa alikuwa na supu safi sehemu Ilikuwa ndg Ila watu walikuwa wanajaaa
Tmk kisuma walikuwa vzr nao
Siku hizi ulipuaji tu hakuna kitu
Supu inajazwa mimaji tuuuuu
Ova
Pr Camp walikuwa na supu nzuri pia
Hugo mwembe jini pale mchemsho wao
Ulikuwa safi
Opposite na makaburi ya kinondoni sahv breakpoint kuna jamaa alikuwa na supu safi sehemu Ilikuwa ndg Ila watu walikuwa wanajaaa
Tmk kisuma walikuwa vzr nao
Siku hizi ulipuaji tu hakuna kitu
Supu inajazwa mimaji tuuuuu
Ova