Najaribu kuwaza hivi, ni kwamba wasanii Bongo ni wachache sana mpaka wasanii wa nje kupewa promo kubwa kuliko wasanii wa ndani!?
By the way, sina tatizo sana na wasanii wa kupewa promo hapa Bongo lakini swali ni je, na sisi huko kwenye nchi za watu tunapewa attention kama tunayowapa?
Au kwa kuwasikiliza ndo tunapata mashavu ya kwenda kufanya shows kwnye nchi za nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
By the way, sina tatizo sana na wasanii wa kupewa promo hapa Bongo lakini swali ni je, na sisi huko kwenye nchi za watu tunapewa attention kama tunayowapa?
Au kwa kuwasikiliza ndo tunapata mashavu ya kwenda kufanya shows kwnye nchi za nje.
Sent using Jamii Forums mobile app