Janice
Member
- Aug 31, 2011
- 48
- 11
Kwa wale wanaofanya ufugaji kuanzia maeneo ya ubungo mpaka kibamba;napenda kuwajulisha kwamba nimeanza kuzalisha vyakula vya wanyama wote wanaofugwa i.e. ng'ombe, nguruwe, mbwa etc.
Bei ni nafuu na kama una formula yako,tutaipokea na kukutengenezea utakavyo.
Nimetaja hayo makazi kwa kuwa ni karibu na kiwanda na itarahisisha usambazaji kwa sasa. Ila biashara ikiwa kubwa tutaanza kusambaza na maeneo ya mbali pia.
Kama uko interested tafadhali ni-pvt na unipe namba yako uweze kufika mahali husike upate huduma.
Bei ni nafuu na kama una formula yako,tutaipokea na kukutengenezea utakavyo.
Nimetaja hayo makazi kwa kuwa ni karibu na kiwanda na itarahisisha usambazaji kwa sasa. Ila biashara ikiwa kubwa tutaanza kusambaza na maeneo ya mbali pia.
Kama uko interested tafadhali ni-pvt na unipe namba yako uweze kufika mahali husike upate huduma.
- Bila kusahau kwamba tunasupply vifaranga wa kenchic na interchic
- Utapata madawa ya mifugo as well pamoja na assistance ya daktari wa wanyama